Kuna haja sasa ya serikali kuingilia kati mapenzi

Kuna haja sasa ya serikali kuingilia kati mapenzi

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Kutokana na wimbi la wanandoa kujinyonga,kujiua,kuuwa,kujeruhi wenza wao!

Ni dhahiri sasa serikali iingilie kati na kuweka sheria kabla ya ndoa ni lazima wapenzi wapimwe akili na uwezo wao wa kusuhulisha mambo! Na ukionekana dishi limeyumba hutaruhusiwa kuishi na mweza yeyote na endapo utapatikana na kosa hilo sheria utafuata mkondo wake yaani ukae ndani at least miaka mitano!

Maana tumejikuta tuna lundo la wanandoa vichaa kila kukicha na kuleta taharuki za mara kwa mara kwenye jamii!
Kazi iendelee!
 
Ndoa ni taasisi ingine kbs ni sawa na kuruhusu serikali iwe inarekodi mnavojamiiana ili ushahidi upelekwe mahakamani

Unajisikia vipi kusikia mume ama mke kamuua mwezi wake!?,ni lazima mmoja wapo atakuwa na matatizo ya akili ni lazima serikali waweke mikakati tuache siasa za kusema ni taasisi
 
Kutokana na wimbi la wanandoa kujinyonga,kujiua,kuuwa,kujeruhi wenza wao!
Ni dhahiri sasa serikali iingilie kati na kuweka sheria kabla ya ndoa ni lazima wapenzi wapimwe akili na uwezo wao wa kusuhulisha mambo!na ukionekana dishi limeyumba hutaruhusiwa kuishi na mweza yeyote na endapo utapatikana na kosa hilo sheria utafuata mkondo wake yaani ukae ndani at least miaka mitano!
Maana tumejikuta tuna lundo la wanandoa vichaa kila kukicha na kuleta taharuki za mara kwa mara kwenye jamii!
Kazi iendelee!
Haya ni matokeo ya awamu iliyopita watu wamejikuta wamepagawa na kukata tamaa ata mimi nilikuwa victim uzuri baada ya mambo kuwa na muelekeo yule binti anaomba msamaha nimueke ndani tena. Kwa research yangu ndogo ata rate ya wanawake kujiuza imeongezeka sana either directly or indirectly.Hela inaleta mapenzi,mapenzi yanaleta furaha na amani kukosa hela ni kukosa furaha na amani kwa lugha nyingine ni kupagawa na kupagawa ni kuwa chizi..

FOOL'S PARADISE.
 
Akimwaga ugali wewe mwaga mboga, full stop
Watoto wakikosa malezi watajijua huko
 
Haya ni matokeo ya awamu iliyopita watu wamejikuta wamepagawa na kukata tamaa ata mimi nilikuwa victim uzuri baada ya mambo kuwa na muelekeo yule binti anaomba msamaha nimueke ndani tena. Kwa research yangu ndogo ata rate ya wanawake kujiuza imeongezeka sana either directly or indirectly.Hela inaleta mapenzi,mapenzi yanaleta furaha na amani kukosa hela ni kukosa furaha na amani kwa lugha nyingine ni kupagawa na kupagawa ni kuwa chizi..

FOOL'S PARADISE.
Ila wanawake ndio wanaongoza kwa tamaa.
Kama unapenda life la kitajir tafuta za kwako sio kutegemea za mwanaume uzitumie vibaya bila malengo

Binafsi niko makini sana sita tia mimba mtoto wa watu onyo ovyo, nikiwa kwenye mahusiano manzi akianza mapicha picha pita hivi, sitaki usumbufu.
 
Vichaa wana haki ya kuoa na kuolewa, jobo mwenyewe ana faili milembe unafikiri ataipitisha hiyo sheria🤣🤸🐒
 
Hapo ndipo serikali zote za duniani zilipo feli.

Nikiwa incharge nitaongeza soma la mapenzi na kutafuta hela mashuleni ngazi zote.
 
Ila wanawake ndio wanaongoza kwa tamaa.
Kama unapenda life la kitajir tafuta za kwako sio kutegemea za mwanaume uzitumie vibaya bila malengo

Binafsi niko makini sana sita tia mimba mtoto wa watu onyo ovyo, nikiwa kwenye mahusiano manzi akianza mapicha picha pita hivi, sitaki usumbufu.
Wahenga tunasemaga......
Kunguru hanenepi kwa kula jalala moja..😂
 
Akimwaga ugali wewe mwaga mboga, full stop
Watoto wakikosa malezi watajijua huko
Mlikutana kila mtu meno 32, hamkujuana mmejuana ukubwani.Kisa nn uue mtoto wa watu aliyezaliwa na mama asiye wako.Kutesa tu matumbo ya wazazi.Ivi mnaujua uchungu wa kufiwa na mtoto mkuu,mwache aende bhana
 
Back
Top Bottom