Serikali yakemea watumishi wa umma wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,042
10,800
Snapinsta.app_463840967_1812136349324531_3367229539611567327_n_1080.jpg
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amekemea vikali vitendo vya uhusiano ya jinsia moja miongoni mwa watumishi wa umma, akisisitiza kuwa vitendo hivyo ni kinyume na maadili, mila, na desturi za Kitanzania.

Daudi ametoa kauli hiyo, Alhamisi Oktoba 17, 2024, Jijini Dodoma wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kati ya taasisi zinazohusika na usimamizi wa maadili.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Daudi ameeleza kuwa ofisi yake imeanza kupokea malalamiko kuhusu mmomonyoko wa maadili, hususan vitendo vinavyohusiana na uhusiano ya jinsi moja, jambo ambalo limepingwa vikali na serikali.

"Vitendo hivi vinakiuka maadili ya Kitanzania, na tunapaswa kukumbuka kuwa si kila kitu kinachotoka nje ya nchi ni kizuri," amesema Daudi, akiongeza kuwa vitendo hivyo vinaharibu utaratibu wa maadili kazini.

Daudi amebainisha kuwa serikali tayari imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaojihusisha na vitendo hivyo, na amesisitiza kuwa kuwahamisha watumishi hao hakutatui tatizo, kwani wanaweza kuendeleza tabia hizo katika maeneo mapya.

"Tulikemee hili kwa nguvu zote. Hatuhitaji mambo kama hayo serikalini. Sisi ni taifa lenye maadili yetu, na hili si sehemu ya maadili hayo," ameongeza Daudi.

Daudi pia ametoa wito kwa viongozi wa dini na jamii kuchukua hatua kali dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja, akisisitiza umuhimu wa kulinda maadili ya taifa na kuhakikisha jamii inaendelea kuzaliana kwa mujibu wa mila na desturi za Kitanzania.

Alisema, "Tufikirie mara mbili; wananchi wameacha kuzaliana, na tukiendelea hivi, baada ya miaka kadhaa tutashuhudia wanaume na wanawake wakiingia kwenye ndoa za jinsia moja. Ni lazima kila mmoja achukue nafasi yake, hasa taasisi za dini."

Chanzo: Jambo Tv

===================
Snapinsta.app_463819213_442543501784212_7819577117131710814_n_1080.jpg

Snapinsta.app_463646624_887423536700082_6596025938034778509_n_1080.jpg
SERIKALI YAKEMEA WATUMISHI WA UMMA WASIOFUATA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

NA. LUSUNGU HELELA-DODOMA

SERIKALI imeonya ukiukwaji wa maadili kwa watumishi wa umma ikiwa ni pamoja na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja na mavazi yasiyofaa jambo ambalo limekuwa likichafua taswira ya serikali.

Hayo yamesemwa leo Oktoba 17,2024 jijini Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi,wakati akifungua kikao kazi cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora baina ya taasisi simamizi za maadili ya utendaji na mamlaka simamizi za maadili ya kitaluma.

Bw.Daudi amesema kuwa Ofisi imeanza kupokea tuhuma na malalamiko kuhusu kuwepo kwa viashiria vya mmomonyoko wa Maadili kinyume na mila na desturi za nchi yetu vinavyohusu vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa baadhi ya watumishi wa umma.

Amesema kuwa, vitendo hivyo ni miongoni mwa vitendo vya kijinai kwa mujibu wa sheria za nchi lakini pia ni vitendo vya kinyume na maadili kwa mujibu wa miongozo ya utumishi wa umma.

“Hivyo, tumieni kikao kazi hiki, kujadili na kubadilishana uzoefu ili kuja na mapendekezo ya namna sahihi ya kudhibiti vitendo hivi na namna sahihi ya kushughulikia masuala haya yatakapojitokeza katika maeneo yenu ya kazi kwa baadhi ya watumishi wanaohusishwa navyo ili kuepuka kuchafua taswira ya utumishi wa umma kwa ujumla,”amesema Bw.Daudi

Aidha ameziomba taasisi za Dini nchini kusimamia maadili na kuonya na kukemea vitendo hivyo vya ndoa ya jinsia moja katika jamii ya kitanzania mana wao wana nguvu na Sauti kubwa ya kusikika zaidi.

“Hivi sasa zipo nchi zimeacha kuzaliana kutokana na kushamiri kwa vitendo hivyo vya mapenzi ya jinsia moja,,Tanzania hatutaki kufika huko ndio mana tunakemea,”amesema

Kuhusu mavazi yasiofaa ameelekeza watumie waraka namba 6 wa utumishi wa umma unaozungumzia mavazi kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaochafua taswira ya serikali kwa kuvaa hovyo ndani na nje ya utumishi.

Amesema kuwa zipo taasisi ambazo viongozi wake wameanza kulegalega kwa kutochukua hatua na kuacha watumishi wakivaa mavazi kinyume cha maadili ya utumishi wa umma.
 
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amekemea vikali vitendo vya uhusiano ya jinsia moja miongoni mwa watumishi wa umma, akisisitiza kuwa vitendo hivyo ni kinyume na maadili, mila, na desturi za Kitanzania.

Daudi ametoa kauli hiyo, Alhamisi Oktoba 17, 2024, Jijini Dodoma wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kati ya taasisi zinazohusika na usimamizi wa maadili.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Daudi ameeleza kuwa ofisi yake imeanza kupokea malalamiko kuhusu mmomonyoko wa maadili, hususan vitendo vinavyohusiana na uhusiano ya jinsi moja, jambo ambalo limepingwa vikali na serikali.

"Vitendo hivi vinakiuka maadili ya Kitanzania, na tunapaswa kukumbuka kuwa si kila kitu kinachotoka nje ya nchi ni kizuri," amesema Daudi, akiongeza kuwa vitendo hivyo vinaharibu utaratibu wa maadili kazini.

Daudi amebainisha kuwa serikali tayari imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaojihusisha na vitendo hivyo, na amesisitiza kuwa kuwahamisha watumishi hao hakutatui tatizo, kwani wanaweza kuendeleza tabia hizo katika maeneo mapya.

"Tulikemee hili kwa nguvu zote. Hatuhitaji mambo kama hayo serikalini. Sisi ni taifa lenye maadili yetu, na hili si sehemu ya maadili hayo," ameongeza Daudi.

Daudi pia ametoa wito kwa viongozi wa dini na jamii kuchukua hatua kali dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja, akisisitiza umuhimu wa kulinda maadili ya taifa na kuhakikisha jamii inaendelea kuzaliana kwa mujibu wa mila na desturi za Kitanzania. Alisema, "Tufikirie mara mbili; wananchi wameacha kuzaliana, na tukiendelea hivi, baada ya miaka kadhaa tutashuhudia wanaume na wanawake wakiingia kwenye ndoa za jinsia moja. Ni lazima kila mmoja achukue nafasi yake, hasa taasisi za dini."

Chanzo: Jambo Tv
Amechukua hatua gani dhidi yao?
 
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amekemea vikali vitendo vya uhusiano ya jinsia moja miongoni mwa watumishi wa umma, akisisitiza kuwa vitendo hivyo ni kinyume na maadili, mila, na desturi za Kitanzania.

Daudi ametoa kauli hiyo, Alhamisi Oktoba 17, 2024, Jijini Dodoma wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kati ya taasisi zinazohusika na usimamizi wa maadili.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Daudi ameeleza kuwa ofisi yake imeanza kupokea malalamiko kuhusu mmomonyoko wa maadili, hususan vitendo vinavyohusiana na uhusiano ya jinsi moja, jambo ambalo limepingwa vikali na serikali.

"Vitendo hivi vinakiuka maadili ya Kitanzania, na tunapaswa kukumbuka kuwa si kila kitu kinachotoka nje ya nchi ni kizuri," amesema Daudi, akiongeza kuwa vitendo hivyo vinaharibu utaratibu wa maadili kazini.

Daudi amebainisha kuwa serikali tayari imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaojihusisha na vitendo hivyo, na amesisitiza kuwa kuwahamisha watumishi hao hakutatui tatizo, kwani wanaweza kuendeleza tabia hizo katika maeneo mapya.

"Tulikemee hili kwa nguvu zote. Hatuhitaji mambo kama hayo serikalini. Sisi ni taifa lenye maadili yetu, na hili si sehemu ya maadili hayo," ameongeza Daudi.

Daudi pia ametoa wito kwa viongozi wa dini na jamii kuchukua hatua kali dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja, akisisitiza umuhimu wa kulinda maadili ya taifa na kuhakikisha jamii inaendelea kuzaliana kwa mujibu wa mila na desturi za Kitanzania. Alisema, "Tufikirie mara mbili; wananchi wameacha kuzaliana, na tukiendelea hivi, baada ya miaka kadhaa tutashuhudia wanaume na wanawake wakiingia kwenye ndoa za jinsia moja. Ni lazima kila mmoja achukue nafasi yake, hasa taasisi za dini."

Chanzo: Jambo Tv
Ukiona serikali haiwezi kudeal na matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoaffect mtu mmoja mmoja na nchi nzima as a whole...afu inataka ideal na watu wanafanya nini chumbani kwao usiku.. ujue tuna safari ndefu sana kama taifa
 
Too vague. Ni mashoga au wasagaji au vyote?

Halafu kuwe na utaratibu wa kisheria ulioandikwa kuliko kusema utamaduni wa kitanzania na kadhalika
Hapo ni wote.Mabasha na wasagaji.Changamoto ni kwamba:Sheria,miongozo na kanuni zikiandikwa ili kuwabana,zitakinzana na sheria za kimataifa na tutazusha misigano.Kumbuka ya Uganda.
 
Maticha shogaz wapo,wa kike wasagaji hawapo...wamechukuliwa juu kwa juu na bodaboda....
 
Kazi kweli. Tena hawa viongozi watu hawana moral authority wa kukememea maovu maana wao wenyewe ni wala rushwa au wameshindwa kumamata wala rushwa mambo mengine ya ufujaji wa mali za watanzania.
Mbona kwenye rushwa hawatokwi povu namna hii. Wakemee maovu yote sio kuchagua baadhi ili kupata attention tu.
 
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amekemea vikali vitendo vya uhusiano ya jinsia moja miongoni mwa watumishi wa umma, akisisitiza kuwa vitendo hivyo ni kinyume na maadili, mila, na desturi za Kitanzania.

Daudi ametoa kauli hiyo, Alhamisi Oktoba 17, 2024, Jijini Dodoma wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kati ya taasisi zinazohusika na usimamizi wa maadili.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Daudi ameeleza kuwa ofisi yake imeanza kupokea malalamiko kuhusu mmomonyoko wa maadili, hususan vitendo vinavyohusiana na uhusiano ya jinsi moja, jambo ambalo limepingwa vikali na serikali.

"Vitendo hivi vinakiuka maadili ya Kitanzania, na tunapaswa kukumbuka kuwa si kila kitu kinachotoka nje ya nchi ni kizuri," amesema Daudi, akiongeza kuwa vitendo hivyo vinaharibu utaratibu wa maadili kazini.

Daudi amebainisha kuwa serikali tayari imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaojihusisha na vitendo hivyo, na amesisitiza kuwa kuwahamisha watumishi hao hakutatui tatizo, kwani wanaweza kuendeleza tabia hizo katika maeneo mapya.

"Tulikemee hili kwa nguvu zote. Hatuhitaji mambo kama hayo serikalini. Sisi ni taifa lenye maadili yetu, na hili si sehemu ya maadili hayo," ameongeza Daudi.

Daudi pia ametoa wito kwa viongozi wa dini na jamii kuchukua hatua kali dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja, akisisitiza umuhimu wa kulinda maadili ya taifa na kuhakikisha jamii inaendelea kuzaliana kwa mujibu wa mila na desturi za Kitanzania. Alisema, "Tufikirie mara mbili; wananchi wameacha kuzaliana, na tukiendelea hivi, baada ya miaka kadhaa tutashuhudia wanaume na wanawake wakiingia kwenye ndoa za jinsia moja. Ni lazima kila mmoja achukue nafasi yake, hasa taasisi za dini."

Kuhusu suala la maadili kwa watumishi wa umma, Daudi amewataka viongozi kuhakikisha kuwa maadili ya mavazi na lugha nzuri yanazingatiwa kazini.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi wa Umma, Ally Gowe, amesema kikao hicho kilikuwa muhimu kwa ajili ya kujadili maazimio yatakayosaidia kukabiliana na changamoto hiyo.

Gowe ameongeza kuwa ofisi yake itazingatia tabia na mienendo ya watumishi wapya wakati wa mchakato wa kuajiri, ili kubaini mapema viashiria vya tabia zisizofaa.
 
Watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia mmoja kutajwa?Waanze na mawaziri na vigogo wa chama

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi, amekemea vikali vitendo vya uhusiano ya jinsia moja miongoni mwa watumishi wa umma, akisisitiza kuwa vitendo hivyo ni kinyume na maadili, mila, na desturi za Kitanzania.

Daudi ametoa kauli hiyo, Alhamisi Oktoba 17, 2024, Jijini Dodoma wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kati ya taasisi zinazohusika na usimamizi wa maadili.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Daudi ameeleza kuwa ofisi yake imeanza kupokea malalamiko kuhusu mmomonyoko wa maadili, hususan vitendo vinavyohusiana na uhusiano ya jinsi moja, jambo ambalo limepingwa vikali na serikali.

"Vitendo hivi vinakiuka maadili ya Kitanzania, na tunapaswa kukumbuka kuwa si kila kitu kinachotoka nje ya nchi ni kizuri," amesema Daudi, akiongeza kuwa vitendo hivyo vinaharibu utaratibu wa maadili kazini.

Daudi amebainisha kuwa serikali tayari imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaojihusisha na vitendo hivyo, na amesisitiza kuwa kuwahamisha watumishi hao hakutatui tatizo, kwani wanaweza kuendeleza tabia hizo katika maeneo mapya.

"Tulikemee hili kwa nguvu zote. Hatuhitaji mambo kama hayo serikalini. Sisi ni taifa lenye maadili yetu, na hili si sehemu ya maadili hayo," ameongeza Daudi.

Daudi pia ametoa wito kwa viongozi wa dini na jamii kuchukua hatua kali dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja, akisisitiza umuhimu wa kulinda maadili ya taifa na kuhakikisha jamii inaendelea kuzaliana kwa mujibu wa mila na desturi za Kitanzania. Alisema, "Tufikirie mara mbili; wananchi wameacha kuzaliana, na tukiendelea hivi, baada ya miaka kadhaa tutashuhudia wanaume na wanawake wakiingia kwenye ndoa za jinsia moja. Ni lazima kila mmoja achukue nafasi yake, hasa taasisi za dini."

Kuhusu suala la maadili kwa watumishi wa umma, Daudi amewataka viongozi kuhakikisha kuwa maadili ya mavazi na lugha nzuri yanazingatiwa kazini.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi wa Umma, Ally Gowe, amesema kikao hicho kilikuwa muhimu kwa ajili ya kujadili maazimio yatakayosaidia kukabiliana na changamoto hiyo.

Gowe ameongeza kuwa ofisi yake itazingatia tabia na mienendo ya watumishi wapya wakati wa mchakato wa kuajiri, ili kubaini mapema viashiria vya tabia zisizofaa.
Screenshot_20241018-170716.jpeg
 
Hii nchi ina vituko sana.
Kwani naibu katibu mkuu ni cheo kikubwa kiasi gani mpaka atamke jambo ambalo Bunge wamelishindwa?
Huyu bila shaka anapakuliwa.
 
Back
Top Bottom