Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,153
- 4,516
Nimesikitishwa na hali inayoendelea Zanzibari kukamata watu wanaokula mchana nakupewa kipigo hali hii imekuwa inajitokeza kila mwaka mwezi huu wa ramadhani
Kilichonisikisha mwaka huu vyombo vya dola kuendelea na zoezi hili la kukamata watu wanaokula mchana ni jambo baya sana halileti afya kwa taifa.
Wao wazanzibari wanakuja bara kununua maeneo na kuishi wanafanya biashara kwa na kuswali kwa uhuru Je? sisi hatutakiwi kwenda kwao, kinachoendelea sasa kwenye huu muungano ni bomu linaloenda kulipuka muda mrefu ni swala la muda tu.
Kilichonisikisha mwaka huu vyombo vya dola kuendelea na zoezi hili la kukamata watu wanaokula mchana ni jambo baya sana halileti afya kwa taifa.
Wao wazanzibari wanakuja bara kununua maeneo na kuishi wanafanya biashara kwa na kuswali kwa uhuru Je? sisi hatutakiwi kwenda kwao, kinachoendelea sasa kwenye huu muungano ni bomu linaloenda kulipuka muda mrefu ni swala la muda tu.