UONGO KATIKA UMRI:
1.Kuna uongo wa shuleni,kwavile miaka sita huwezi anza darasa la kwanza inabidi useme unamiaka saba.
2.Maenzi,kama niae mtaka ni mkubwa au mtoto kuliko mimi inbidi ni adjust umri angalau ufananefanane
3.Kuaminika,kuna watu,umri wao na wao wenyewe tofauti kabisa,akitaja umri halisi watu wote hawaamini wanabaki kucheka,sasa anaona bora ataje huohuo.
4.Heshima,kuna wenye mawazo kuwa watu wazima wanaheshimika zaidi kwa hiyo nao hujiadjust huko huko ukubwani.
5.AJIRA, NAFASI za kazi zinataka wenye umri usiozidi 40,na wewe una 41 hapo piga ua mwaka mmoja lazima upigwe kitanzi
6.kutojua, kuna watu tumezaliwa hukooo madongo kwinama mambo ya mwaka,tarehe unatakanikudanganye tu
7.Kustaafu,kuna umri maalum wa kustaafu,ukiajiriwa ukitaja miaka mingi zaidi maana yake ustaafu mapema.
UTAGUNDUA KUWA UMRI UDANGANYIFU WA UMRI UNAFANYIKA ILI MTU AFAIDIKE AU APATE AKITAKACHO
LAKINI UONGO WA AINA YOYOTE ILE HAUFAI NA WAONGO WOTE UFALME WA MBINGUNI WATAUSIKIA REDIONI TU(HAWATAUONA)
LABDA UONGO HUO UWE UNA NIA YA KUOKOA UHAI WA MTU.