G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,565
- 8,427
wakati mwingi waafrika huomba kisicho kuwepo maana hata hawakijui vzrKweli Mkuu ni laana zilizotukuka. Kukumbatia mila na desturi za zamani wengi wetu zimeingizia familia zetu mzigo mkubwa. Sometimes you wonder! Why only me and my family kha! Asante kutukumbusha. Lakini na maombi nayo hayajibiki sometimes. Ni mawazo yangu na utafiti wangu. Wapendwa wa Mungu tusaidiane ktk hili!
lakini hapo kale na si kale sana walikuwepo miUngu wa kiafrika ambao leo ni mizimu na mishetani kwa sababu ya imani zilizokuja
Nakili wazi imani hiyo iliyokuja miaka 100 tu iliyopita kuingia Afrika hapa hususani Tanzania hatuijui vyema imani hiyo.