Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Kwanza kabisa mimi ni kaka sio dada naona watu kidogo wamejichanganya hapo chini wanajua mimi ni dada
Habari za kazi wakubwa na wadogo....Nadhani hii ni sehemu yake ya kuweza kuweka kitu chochote kinacho uhusiana na mapenzi na zaidi.....So mimi nilikuwa na problem moja ambayo sikufurahishwa kabisa na sijapata bado uwamuzi zaidi nini nifanye ili niweze kutuliza akili..First kwanza labda niseme kwamba mimi nina rafiki yangu wa kiume nipo nae karibu sana tena sana nadhani ninachofanya mimi yeye anajua na anachofanya yeye mimi lazima nijuwe yaani ni kidole na pete tuna mahusino ya karibu sana tena sana na wote tumetokea bongo ila tunaishi huku....Sasa tatizo lililopo ni kwamba mimi nina rafiki yangu wa kike((nadhani hapa mmenielewa kuhusu huyu rafiki wa kike))Lakini sasa huyu rafiki yangu hamjui huyu msichana ila ni mimi mwenyewe ndio namfahamu sasa nadhani kwa vile rafiki yangu nikamuamini nikamfahamisha kwa huyo mshichana wakawa wanajuana sasa na mawasiliano ya kawaida yakawa ya hapa na pale na jokes kwa sana......So now nimekuja kugundua huyo rafiki yangu anawasiliano na huyo mshichana kwa njia ya private sometime msn au kwa simu mimi nilikuja kugundua baada ya kuona huyo msichana ameanza kunibadilikia na kibuli sana,Baada ya kuona huyo msichana kanibadilikia na mawasiliano yamepungua kama yalivyokuwa zamani nikaja kugundua kwamba jamaa yangu ndio anachonga nae.Na pia huyo mshikaji kabla hajamfahamu huyo msichana tulikuwa na mawasiliano mazuri sana tena sasa hivi nikimpigia simu saa zingine hapokei na saa zingine anapokea na hata nikimtumia sms kwenye simu hajibu kabisa na wala nikimuuliza kama umepata sms zangu hajibu maana zamani alikuwa ananipigia simu uko wapo kujuliana hali kama hivyo lakini sasa naona jamaa kanibadilikia toka nimfahamishe kwa yule msichana na pia sasa hivi ndio huwa anawasiliana nae masaa 24 kupitia msn na kupigiana simu ila mimi wote sasa hivi hata nikiongea na huyo jamaa na huyo mshichana naona hawanichangamkii kabisa sasa nifanye nini??? kwa hiyo kuwa na rafiki wa karibu anaweza kukugeuzia kibao kukuchukulia mali yako??? au ndio ananiponda sana kwa huyo msichana ili afanikiwe yeye??Nitaomba nieleweshwe jamani nichukue uwamuzi gani maana siamini kabisa kama imekuwa hivi....Naomba msaada wenu ndugu zangu
Habari za kazi wakubwa na wadogo....Nadhani hii ni sehemu yake ya kuweza kuweka kitu chochote kinacho uhusiana na mapenzi na zaidi.....So mimi nilikuwa na problem moja ambayo sikufurahishwa kabisa na sijapata bado uwamuzi zaidi nini nifanye ili niweze kutuliza akili..First kwanza labda niseme kwamba mimi nina rafiki yangu wa kiume nipo nae karibu sana tena sana nadhani ninachofanya mimi yeye anajua na anachofanya yeye mimi lazima nijuwe yaani ni kidole na pete tuna mahusino ya karibu sana tena sana na wote tumetokea bongo ila tunaishi huku....Sasa tatizo lililopo ni kwamba mimi nina rafiki yangu wa kike((nadhani hapa mmenielewa kuhusu huyu rafiki wa kike))Lakini sasa huyu rafiki yangu hamjui huyu msichana ila ni mimi mwenyewe ndio namfahamu sasa nadhani kwa vile rafiki yangu nikamuamini nikamfahamisha kwa huyo mshichana wakawa wanajuana sasa na mawasiliano ya kawaida yakawa ya hapa na pale na jokes kwa sana......So now nimekuja kugundua huyo rafiki yangu anawasiliano na huyo mshichana kwa njia ya private sometime msn au kwa simu mimi nilikuja kugundua baada ya kuona huyo msichana ameanza kunibadilikia na kibuli sana,Baada ya kuona huyo msichana kanibadilikia na mawasiliano yamepungua kama yalivyokuwa zamani nikaja kugundua kwamba jamaa yangu ndio anachonga nae.Na pia huyo mshikaji kabla hajamfahamu huyo msichana tulikuwa na mawasiliano mazuri sana tena sasa hivi nikimpigia simu saa zingine hapokei na saa zingine anapokea na hata nikimtumia sms kwenye simu hajibu kabisa na wala nikimuuliza kama umepata sms zangu hajibu maana zamani alikuwa ananipigia simu uko wapo kujuliana hali kama hivyo lakini sasa naona jamaa kanibadilikia toka nimfahamishe kwa yule msichana na pia sasa hivi ndio huwa anawasiliana nae masaa 24 kupitia msn na kupigiana simu ila mimi wote sasa hivi hata nikiongea na huyo jamaa na huyo mshichana naona hawanichangamkii kabisa sasa nifanye nini??? kwa hiyo kuwa na rafiki wa karibu anaweza kukugeuzia kibao kukuchukulia mali yako??? au ndio ananiponda sana kwa huyo msichana ili afanikiwe yeye??Nitaomba nieleweshwe jamani nichukue uwamuzi gani maana siamini kabisa kama imekuwa hivi....Naomba msaada wenu ndugu zangu