Kuna Dhambi Gani Rais Kuwa Mwanamke?

hakuna tofauti kati ya mwanamke na mwanaume kwenye swala la uongozi.kwani banda ndiye raisi wa kwanza kushindwa uchaguzi? hii inatokea kwa yeyote iwe wa kike au wakiume.muulize George weah ilikuwaje kwa hellen Johnson.mwenye malengo mema na nchi ndiye mwenye haki ya kuongoza ila si ujinsia wake.
 
Acha aende akalee watoto analeta kelele za nini au hana mume? mwanamke akiwa ofisini mbabe na akiwa nyumbani hafurukuti anakua chini ya himaya
 
Kwa imani ya America (USA) hawakubali Demu awe Rais wa nchi yao, Lakini wao hukomalia nchi zingine kuweka rais "ke" !!
ha ha ha ha danganya toto.....!
 
huyu mama ni kiongozi bora sana. alipoingia alikata matumizi ya rais na kuimarisha uchumi
 
Alivyo mpigia magoti kikwete maanaake nini? Ni kama Malawi kuipigia magoti Tanzania. na hii ndo sababu
 
Kwa US wakikataa kuongozwa na mwanamke naweza waelewa maana tumeona mafanikio yao kwa Afrika sioni tofauti ya kuongozwa na mwanamke, mwanaume na hata mtoto maana bado tu tegemezi na tuko kwenye lindi la umaskini, maradhi, njaa, vita na etc
 
Kamkomalia nani?

wa kwanza kabisa ni PAKISTAN alifanya kila hila ili BenNazir Butto atawale..hayimaye kalishwa Risasi...Pili Bangladesh zimetembea kila gharama na ukandamizaaji ili Ke (khalida/Begam) watawale Ona vipi lindi la umasikini na majanga yanvyolikumba taifa la Bangladeshi..... liberia hali kadhalika....Thailand imekubuhu migomo!! na mengineo kibao !! chunguza Mkuu !! ni mifadhahiko tu !
 
Kwa US wakikataa kuongozwa na mwanamke naweza waelewa maana tumeona mafanikio yao kwa Afrika sioni tofauti ya kuongozwa na mwanamke, mwanaume na hata mtoto maana bado tu tegemezi na tuko kwenye lindi la umaskini, maradhi, njaa, vita na etc
nakubaliana na wewe
 
nimeshangazwa na bullet ya mwisho kwenye habari ya Joyce Banda

Usishangazwe sana mkuu. Huyu mama hata mie simpendi, hasa kuhusu hili suala la kukosa maamuzi na kutaka kutuletea vita ya kugombea maji ya Ziwa Nyasa. Mbona enzi za Dr. Mutharika hatukugombea maji haya?
 
Usishangazwe sana mkuu. Huyu mama hata mie simpendi, hasa kuhusu hili suala la kukosa maamuzi na kutaka kutuletea vita ya kugombea maji ya Ziwa Nyasa. Mbona enzi za Dr. Mutharika hatukugombea maji haya?
kila zama na kitabu chake
 
Back
Top Bottom