Kuna demu kaniambukiza Pumbu illusion

Kuna demu kaniambukiza Pumbu illusion

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Kuna demu flani hivi kaniambukiza huu ugonjwa wa pumbu illusion ni kama fungus flani hivi wanakaa kwenye pumbu ukijikuna unatoka weupe weupe kama unga alafu inawasha hatari muda wote ni Kru kru kru kru,

Hivi dawa yake nini hiyo wakuu?

Note:
Dawa ikataze vyote kama kunywa pombe na N.K lakini isiwe na katazo la kutokutumia Papuchi wakati wa dozi.

CC Zero IQ
 
Mkuu kama nakumbuka vizuri hiyo kitu ni pumb* jero, husababishwa fungus, yani kutokuoga au unaoga lakini hujisugui vizuri hilo eneo.. Niliumwa nilivyokua mdogo, nilikua nakaa hata siku 3 bila kuoga.. Aisee niliisoma namba.

Nilitumia dawa ya kupaka inaitwa Daktacort kama skosei (naikumbuka dawa mpaka leo cause niliwashwa sana aisee [emoji3][emoji3][emoji3])

silent_ocean
 
Kuna demu flani hivi kaniambukiza huu ugonjwa wa pumbu illusion ni kama fungus flani hivi wanakaa kwenye pumbu ukijikuna unatoka weupe weupe kama unga alafu inawasha hatari muda wote ni Kru kru kru kru,

Hivi dawa yake nini hiyo wakuu?

Note:
Dawa ikataze vyote kama kunywa pombe na N.K lakini isiwe na katazo la kutokutumia Papuchi wakati wa dozi.

CC Zero IQ
Sasa mkuu! Huu ugonjwa ulkuwa kwenye kiungo gani Kwa huyo manzi!?[emoji16]

"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
 
Kuna demu flani hivi kaniambukiza huu ugonjwa wa pumbu illusion ni kama fungus flani hivi wanakaa kwenye pumbu ukijikuna unatoka weupe weupe kama unga alafu inawasha hatari muda wote ni Kru kru kru kru,

Hivi dawa yake nini hiyo wakuu?

Note:
Dawa ikataze vyote kama kunywa pombe na N.K lakini isiwe na katazo la kutokutumia Papuchi wakati wa dozi.

CC Zero IQ

asante kwa kunimalizia bando [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kama nakumbuka vizuri hiyo kitu ni pumb* jero, husababishwa fungus, yani kutokuoga au unaoga lakini hujisugui vizuri hilo eneo.. Niliumwa nilivyokua mdogo, nilikua nakaa hata siku 3 bila kuoga.. Aisee niliisoma namba.

Nilitumia dawa ya kupaka inaitwa Daktacort kama skosei (naikumbuka dawa mpaka leo cause niliwashwa sana aisee [emoji3][emoji3][emoji3])

silent_ocean
Naoga mara 2 kwa siku Asubuhi na usiku kabla ya kulala, nabadili boxer mara moja kwa siku Asubuhi nikitoka kuoga navaa jioni nikienda kuoga navua navaa bukta mpak Asubuhi niambie sababu nyingine mkuu

CC Zero IQ
 
Huenda sababu zipo nyingi, kwangu ilikua ni hiyo
Naoga mara 2 kwa siku Asubuhi na usiku kabla ya kulala, nabadili boxer mara moja kwa siku Asubuhi nikitoka kuoga navaa jioni nikienda kuoga navua navaa bukta mpak Asubuhi niambie sababu nyingine mkuu

CC Zero IQ

silent_ocean
 
Back
Top Bottom