umetema madini mkuuNa aachiwe kwa lipi hasa kama amepatikana na hatia?? Why her?? ana impact gani ktk jamii??Nitamdharau JPM.
Yuko sahihi, kwani toka lini asiye na cheti cha form four akawa RC?Kabla hujapost kitu jifungie usome kidogo otherwise unaamua kuonyesha ujinga wako toka lin kesi ya mauaji ikawa na msamaha
Kesi sio ya mauaji mkuu ni kuua bila kukusudiaKabla hujapost kitu jifungie usome kidogo otherwise unaamua kuonyesha ujinga wako toka lin kesi ya mauaji ikawa na msamaha
Wewe huna AKILIAngempa msamaha lakini tatizo ni
1. Kabila
2. Wakili
Unaweza ukawa nabii kwa mudaNimeota
Kwan litakuwa lakwanza la kushangaza kwenye utawala huu?Kabla hujapost kitu jifungie usome kidogo otherwise unaamua kuonyesha ujinga wako toka lin kesi ya mauaji ikawa na msamaha
Wewe utakuwa mkongomani weweHalafu sio MSAMAA ni MSAMAHA
Jifunze kuanzia sasa huenda ikatokeaNa aachiwe kwa lipi hasa kama amepatikana na hatia?? Why her?? ana impact gani ktk jamii??Nitamdharau JPM.
Acha kujitetea kijinga shirikisha ubongoKwan litakuwa lakwanza la kushangaza kwenye utawala huu?
Shirikisha ww unaeshangaa kwa mara ya kwanzaAcha kujitetea kijinga shirikisha ubongo