Mkuu Sasa si hatry kubwa iyoNyingine hazina taa kabisa zinategemea mataa ya barabarani
Ila zinatuokoa kinoma usiku aisee kwa hapa dar, yani unapiga vyombo unajua hata saa 9 usiku hukosi gari ya kurudi kitaa.
Haiwez kutokea na hata ikitokea hawakufanyi kituAfu ukute njemba tupu demu pekee Yako.
Aisee.
Wanawake tunakuwaga na ka uwoga flani aisee mpaka inafika unakoenda presha ishapanda.Haiwez kutokea na hata ikitokea hawakufanyi kitu
Usiogope kuwa na amani tu mamaWanawake tunakuwaga na ka uwoga flani aisee mpaka inafika unakoenda presha ishapanda.
Kwa hiyo Joowzey ndugu yangu wewe ni kinda ama driver wa night kali?Usiogope kuwa na amani tu mama
Naunga mkono hoja mkuu.Jaribu kitunga uongo unaofanana na ukweli, daladala Arusha mwisho saa 4 ikizidi sana ni saa 5.
Hakuna abiria usiku kwa Arusha.
Barabara zinazochelewa kufunga kazi ni Ngulelo na Morombo.
No,I'm not...Kwa hiyo Joowzey ndugu yangu wewe ni kinda ama driver wa night kali?
Sikuelewi ujue?
Boss kasema tupige kazi mpaka abiria watakapoisha
Zipo sana tu chuggaNaunga mkono hoja mkuu.
Kidding 😉😉No,I'm not...