Natumai hamjambo wananzengo
Wakuu kuna binadam wana moyo sana, hili nimelithibitisha baada ya huyu bwana kunisimulia kisa chake.
Ipo hivi, huyu bwana alisoma chuo kimoja na mpenziwe, wakiwa chuo mpenziwe alimcheat na lekcha jamaa akasamehe maisha yakaendelea.
Siku nyingine akawa anahtaji gegedo kwa mpenziwe, akajibiwa yupo hedhi bt kumbe mpenziwe alikua na miadi ya kugegedwa na njemba nyingine.
Kesho yake walipokutana jamaa akashika sim ya mpenziwe akakutana na txt inasema "ahsante kwa huduma ulonipa jana, nilienjoy sana" Jamaa kuuliza mwanamke akakiri kosa akaomba msamaha jamaa akasamehe maisha yakaendelea, mwisho wakaoana hadi leo wana familia ya watoto wawili.
Hichi kisa kilinifanya nijue kuna watu wana moyo sana, hata nikabaki namshangaa tu huyu bwana, bt upande wangu moyo wakipumbavu kama huo sina na sintokuja kua nao coz kusalitiwa ndo kosa ambalo hua siwezi samehe hasa nikiwa nimeprove.
Je, wewe ukiuvaa uhusika wa huyu bwana utayakabili vipi haya matukio?
Wakuu kuna binadam wana moyo sana, hili nimelithibitisha baada ya huyu bwana kunisimulia kisa chake.
Ipo hivi, huyu bwana alisoma chuo kimoja na mpenziwe, wakiwa chuo mpenziwe alimcheat na lekcha jamaa akasamehe maisha yakaendelea.
Siku nyingine akawa anahtaji gegedo kwa mpenziwe, akajibiwa yupo hedhi bt kumbe mpenziwe alikua na miadi ya kugegedwa na njemba nyingine.
Kesho yake walipokutana jamaa akashika sim ya mpenziwe akakutana na txt inasema "ahsante kwa huduma ulonipa jana, nilienjoy sana" Jamaa kuuliza mwanamke akakiri kosa akaomba msamaha jamaa akasamehe maisha yakaendelea, mwisho wakaoana hadi leo wana familia ya watoto wawili.
Hichi kisa kilinifanya nijue kuna watu wana moyo sana, hata nikabaki namshangaa tu huyu bwana, bt upande wangu moyo wakipumbavu kama huo sina na sintokuja kua nao coz kusalitiwa ndo kosa ambalo hua siwezi samehe hasa nikiwa nimeprove.
Je, wewe ukiuvaa uhusika wa huyu bwana utayakabili vipi haya matukio?