iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,149
- 9,969
[emoji848][emoji848][emoji848] Ikawaje? Em jazilizia nyama kidogo..Kuna msichana nilimwacha kibabe akaenda kunifungulia kesi mahakamani. kuachana ni kazi ngumu raisi kutongozana.
[emoji848][emoji848][emoji848] Ikawaje? Em jazilizia nyama kidogo..Kuna msichana nilimwacha kibabe akaenda kunifungulia kesi mahakamani. kuachana ni kazi ngumu raisi kutongozana.
Mmefanana kweli kwel na yule MwenzioFor WHAT...!!!???[emoji28]
For WHO....!!!????[emoji2955]
Go EAST I go WEST [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
You CHEW I SWALLOW [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
You SPIT I VOMIT [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You QUIT I VANISH [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kasinde Matata [emoji6]
Aisee, tar 28 kura zote kwa MaguKuna wanawake ukiwa nao kwenye uhusiano ukitaka kumuacha inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana kila ukimwambia tuachane anazidi tu kuja kama wanajeshi wa Vietnam [emoji1264]!
Yaani kila ukimtafutia sababu wapi anazidi kukujia kwa kasi zaidi yaani ili umpige kibuti unabidi ujitoe ufahamu kweli kweli la si hivyo utajuta!ama utaamua kuhama mtaa!
Kuna wanawake hawakubali kuachika kabisa na ukifanya mchezo anabeba kabisa na mimba ili akukalie kooni zaidi!
Mnatupa wakati mgumu sana hasa sisi wanaume wapole!
Kubalini kuachika basi mapenzi hayalazimishwi [emoji276]
Simu haziuziki??Kuna wanawake ukiwa nao kwenye uhusiano ukitaka kumuacha inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana kila ukimwambia tuachane anazidi tu kuja kama wanajeshi wa Vietnam [emoji1264]
Yaani kila ukimtafutia sababu wapi anazidi kukujia kwa kasi zaidi yaani ili umpige kibuti unabidi ujitoe ufahamu kweli kweli la si hivyo utajuta!ama utaamua kuhama mtaa
Kuna wanawake hawakubali kuachika kabisa na ukifanya mchezo anabeba kabisa na mimba ili akukalie kooni zaidi!
Mnatupa wakati mgumu sana hasa sisi wanaume wapole
Kubalini kuachika basi mapenzi hayalazimishwi [emoji276]
Ukiona ivo ulimpa nyama ya ulimi uyo sasa kakoleaKuna wanawake ukiwa nao kwenye uhusiano ukitaka kumuacha inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana kila ukimwambia tuachane anazidi tu kuja kama wanajeshi wa Vietnam [emoji1264]
Yaani kila ukimtafutia sababu wapi anazidi kukujia kwa kasi zaidi yaani ili umpige kibuti unabidi ujitoe ufahamu kweli kweli la si hivyo utajuta!ama utaamua kuhama mtaa
Kuna wanawake hawakubali kuachika kabisa na ukifanya mchezo anabeba kabisa na mimba ili akukalie kooni zaidi!
Mnatupa wakati mgumu sana hasa sisi wanaume wapole
Kubalini kuachika basi mapenzi hayalazimishwi [emoji276]
No....You know what kasie..?
Love you..😉No....
Waatiii Kendhy...!!!?
Mmefanana kweli kwel na yule Mwenzio
For What?....For Who?
Love you..😉
Kuna kidada niliingia nacho kwenye mahusiano hapo ndipo nilipojifunza... Kuwa usitembee na mwanamke usiye na malengo naye, nilivyomchana its over akanichimba mkwara mm huwa siachwi kirahisi hivyo uliza hapa mtaani kwetu lile beat nilitokakijacho .... Ilikuwa kazi sana namuda wowote kikitakakinakuja gheto... Nilikifanyia kila ainaya visa wapi ? Mpknilipoamua kuhamakimya kimya usiku saaa sita uck ndio ikawapona pona yangu
sent from HUAWEI
Do you want some more...!!? 😜
Ha ha! Do you think I can say no..? Hiyo haiwezekani! Jibu ni NDIOOOO I WANT MORE...😍
Mkuu acha kunitisha bwana yaani nikikumbuka , naujanja wangu unaniishaHabari ni kwamba bado anakatufuta
Hutonitoa password kweli wewe maana..😅Then you get it. Just come and have it 😋