KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,849
Ha ha! Umenifanya nipate hamu ya kitu fulani hivi..😂😊😊ninaendelea kufanya upekuzi yakinifu humu ili kujiridhisha zaidi.Maana nimeanza kunusa harufu ya kuibiwa
Ha ha! Umenifanya nipate hamu ya kitu fulani hivi..😂😊😊ninaendelea kufanya upekuzi yakinifu humu ili kujiridhisha zaidi.Maana nimeanza kunusa harufu ya kuibiwa
Njoo nikumovezishie.Nna wangu ana tabia za ubish na ndo zilizofanya nimuache,ila huwa anakaa kama mwez iv anaanza nisumbua ila kwa ule mnato wake nashindwa ku move on
nini hicho mupenziHa ha! Umenifanya nipate hamu ya kitu fulani hivi..😂
Hapo sasa, mimi mwenyewe fundi....
Natafakari vile mafundi wawili wakikutana....
Mh! Mh! Mhhh!nini hicho mupenzi
Aisee yule Dada alinikomoa sana pamoja na kumtukana huyo hapo kashafika ghetto
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ila bibie unaonekana unayaweza mambo flanMasihara tuu ya gengeni kwa bi Kasinde.
Kesi gn Sasa jamaniKuna msichana nilimwacha kibabe akaenda kunifungulia kesi mahakamani. kuachana ni kazi ngumu raisi kutongozana.
Umepinda nini na wewe mkuu? 😂daahh mi hadi kuna wakati niliamua kuishi kibachela tuuu.nilijiona nna nuksi kwa kupata wanawake chizi mapenzi.
Aah!acha nitumie tumie kwanza ikitanuka kidogo nitakutumia nambaNjoo nikumovezishie.
Pasia namba zake hapa.
Jina lako hata halifananii na roho mbaya uliyonayo. We siyo wa kuninyima namba ndugu yakoAah!acha nitumie tumie kwanza ikitanuka kidogo nitakutumia namba
Kuna wanaume hatuachiki kirahisi rahisi
Ila bibie unaonekana unayaweza mambo flan
Mi ninaye wa hivyo nimeshindwa kumuacha kwa.mnato wake. Ila.mbishi balaa.Nna wangu ana tabia za ubish na ndo zilizofanya nimuache,ila huwa anakaa kama mwez iv anaanza nisumbua ila kwa ule mnato wake nashindwa ku move on
Ukishikwa shikamanaKuna wanawake ukiwa nao kwenye uhusiano ukitaka kumuacha inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana kila ukimwambia tuachane anazidi tu kuja kama wanajeshi wa Vietnam
Yaani kila ukimtafutia sababu wapi anazidi kukujia kwa kasi zaidi yaani ili umpige kibuti unabidi ujitoe ufahamu kweli kweli la si hivyo utajuta!ama utaamua kuhama mtaa
Kuna wanawake hawakubali kuachika kabisa na ukifanya mchezo anabeba kabisa na mimba ili akukalie kooni zaidi!
Mnatupa wakati mgumu sana hasa sisi wanaume wapole
Kubalini kuachika basi mapenzi hayalazimishwi
Una bahati hakuamua kukurogaKuna kidada niliingia nacho kwenye mahusiano hapo ndipo nilipojifunza... Kuwa usitembee na mwanamke usiye na malengo naye, nilivyomchana its over akanichimba mkwara mm huwa siachwi kirahisi hivyo uliza hapa mtaani kwetu lile beat nilitokakijacho .... Ilikuwa kazi sana namuda wowote kikitakakinakuja gheto... Nilikifanyia kila ainaya visa wapi ? Mpknilipoamua kuhamakimya kimya usiku saaa sita uck ndio ikawapona pona yangu
sent from HUAWEI
Very TrueObey WHO...!!??
She is my sister from another mother.