Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,965
- 4,052
Hao wapo hasa ukikutana na wale waliotokea Kg huko mwisho wa reli, ni wabishi yaani hata ukimweleza ana kwa ana kuwa sihitaji kuwa na wewe bado mtabishana mpaka jua lizame,
Labda umtoloke uhame kabisa umuachie vitu ndani
Labda umtoloke uhame kabisa umuachie vitu ndani