Kuna baadhi ya Wanawake ni superglue

Kuna baadhi ya Wanawake ni superglue

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Kuna wanawake ukiwa nao kwenye uhusiano ukitaka kumuacha inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana kila ukimwambia tuachane anazidi tu kuja kama wanajeshi wa Vietnam [emoji1264]

Yaani kila ukimtafutia sababu wapi anazidi kukujia kwa kasi zaidi yaani ili umpige kibuti unabidi ujitoe ufahamu kweli kweli la si hivyo utajuta!ama utaamua kuhama mtaa

Kuna wanawake hawakubali kuachika kabisa na ukifanya mchezo anabeba kabisa na mimba ili akukalie kooni zaidi!
Mnatupa wakati mgumu sana hasa sisi wanaume wapole

Kubalini kuachika basi mapenzi hayalazimishwi [emoji276]
 
For WHAT...!!!???😅
For WHO....!!!????🤨

Go EAST I go WEST 😆😆😆😆
You CHEW I SWALLOW 😜😜😜😜
You SPIT I VOMIT 😂😂😂😂
You QUIT I VANISH 🤣🤣🤣🤣

Kasinde Matata 😉
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom