Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,230
Hutonitoa password kweli wewe maana..😅
Acha wogaa, ukijiona unanigewa na kuzidiwa na hiyari basi hapo una uhuru wa kurudi nyumbani ilhali unaiacha asali ikiwa inameremeta inanesanesa kumwagika chini tayari kurambwa... 😜
Na ukiishindwa hiari pasiwedi utaitoa kwa hiari huku ukiwa na ufahamu wako mia ya mia 🤪🤪
Hapana chezea nguvu ya asali hasa ya Tabora 😅😅