Mbona siku nakuja ukwenu sikutambulishwa huyo?😢😢😂😂 Huyo ni Bibi yangu punguza wivu laazizi..
mwaka huu nimewaambia marafiki zangu wajiandae kula pilau,either la harusi au la msiba,lolote laweza kutokea.Sasa wewe jitoe ufahamu.Utaniachaje kirahisi hivyo😂😂 Huyo ni Bibi yangu punguza wivu laazizi..
Ha ha! Hakuwepo huyu ndo umjue leo Sasa.Mbona siku nakuja ukwenu sikutambulishwa huyo?😢😢
Tukutane chobingo..😉
Lily Tony mama weye huachiki ndo muhuri nishagonga na nakuelewa na zile kabari zako hata siwazi kukuacha..😅mwaka huu nimewaambia marafiki zangu wajiandae kula pilau,either la harusi au la msiba,lolote laweza kutokea.Sasa wewe jitoe ufahamu.Utaniachaje kirahisi hivyo
Bado haujampata FUNDI.
una utani weweHa ha! Hakuwepo huyu ndo umjue leo Sasa.
Ooh!mambo yanataka kuwa mambo sasaDo you want some more...!!? 😜
Nimekosea wapi..?una utani wewe
Tulizana jazba nawe ushaona wapi mtu anaachepuka hadharani tena niwe na kiumbe kizuri Kama wewe mtoto umebarikiwa kila kitu jicho lako tu linatosha niwaze kwa kichwa Cha chini hapo bado zile hazina nyengine.. toa shaka siwezi kurupuka..😅endeleeni tu,Niko kwenye kikao cha familia😒😒
Eehh!!mwaka huu nimewaambia marafiki zangu wajiandae kula pilau,either la harusi au la msiba,lolote laweza kutokea.Sasa wewe jitoe ufahamu.Utaniachaje kirahisi hivyo
😂😂😂😂Eehh!!
Unataka viboko sasa! Mbona hujatutambulisha kua unamupenzi,wakati tulikaa kikao cha familia![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😊😊ninaendelea kufanya upekuzi yakinifu humu ili kujiridhisha zaidi.Maana nimeanza kunusa harufu ya kuibiwaTulizana jazba nawe ushaona wapi mtu anaachepuka hadharani tena niwe na kiumbe kizuri Kama wewe mtoto umebarikiwa kila kitu jicho lako tu linatosha niwaze kwa kichwa Cha chini hapo bado zile hazina nyengine.. toa shaka siwezi kurupuka..😅
Ooh!mambo yanataka kuwa mambo sasa