Kuna baadhi ya Miji mafuta hayapatikani. Serikali kwanini ipo kimya?

inspectorbenja

JF-Expert Member
Oct 14, 2012
500
420
Wadau, hii kero ya mafuta haivumiliki sasa.

Baadhi ya Miji kwa mfano Ifakara, Mafuta ya petroli hayapatikani. Kwenye vituo mafuta yapo ila hawauzi. Matokeo yale kuna misusulu mirefu ya pikipiki, bajaji na magari.

Wauzaji wamejifungia ndani ya vituo. Yakifika magari ya watu wazito mfano askari n.k Wanatoka,wanamuuzia alafu wanarudi kujifungia.

Je, Serikali haioni adha wananchi tunayopata. Mbona jambo hili sasa linataka kuzoeleka?

Jamani msaada, ni nani tumpigie simu atusaidie? Je ni DC, RC, Mkuu wa maafisa usalama au waziri? Mbona naona kitendo hiki ni kucheza na usalama wa nchi?
 
Wadau, hii kero ya mafuta haivumiliki sasa.

Baadhi ya Miji kwa mfano Ifakara, Mafuta ya petroli hayapatikani. Kwenye vituo mafuta yapo ila hawauzi. Matokeo yale kuna misusulu mirefu ya pikipiki, bajaji na magari.

Wauzaji wamejifungia ndani ya vituo. Yakifika magari ya watu wazito mfano askari n.k Wanatoka,wanamuuzia alafu wanarudi kujifungia.

Je, Serikali haioni adha wananchi tunayopata. Mbona jambo hili sasa linataka kuzoeleka?

Jamani msaada, ni nani tumpigie simu atusaidie? Je ni DC, RC, Mkuu wa maafisa usalama au waziri? Mbona naona kitendo hiki ni kucheza na usalama wa nchi?
Wafanyabiashara sio watu wa kucheka nao na hii jeuri wanapata Kwa sababu wengi wao wako huko huko Serikalini

View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1698404096884039773?t=hCEIi8lCbIQ7sfMAy4bL8A&s=19
 
Ngoja niweke wese la kutosha kabisa, hizi ni dalili kwamba j5 mzigo utapandishwa bei
 
Hiyo ya kuuzia wengine halafu na kurudi kujifungia nasikia ingetokea kwenye nchi za wananchi wanaojitambua sheli zingekuwa zimeishachomwa moto na ndani wakiwa wamejifungia.

Hao wanajifungia kwenye bomu kwa sababu wanajua Watanzania ni waoga.

Sasa viongozi wanaenda kuwekewa mafuta hata hawashtuki kwa nini wengine hawawekewi! Hiyo ni dalili kwamba viongozi wamekata tamaa nchi ijiendee tu!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Haya ndo yameanza kuwa sehemu ya maisha kimya kimya.
1. Mgao wa umeme ✅
2. Mgao wa mafuta ✅
3 Kwangu maji yanakata, yanakuja. Kiangazi hiki hapa mgao unanukia labda lifanyike jambo
 
Back
Top Bottom