Kuna athari zozote kama tukivunja uhusiano na WB,IMF au Marekani?

Hiyo AfDB biggest investors ndio nchi zilezile zinazotoa pesa kupitia WB na IMF.

Suppose waafrika wote tujitoe kwa pamoja halafu tuanzishe taasisi yetu. There comes a conundrum maana nchi za kiafrica ndio wakopaji wakubwa kupitia banks na wengi wana makusanyo pungufu ya kukidhi budget zao who is to fund that new institution?

Kuachana na WB inabidi kwanza tuwe na uchumi unaoweza walau kukusanya mapato ya kukidhi budget yetu vinginevyo ni day dreaming.
 
Bila kubadili mfumo wa uongozi ni ngumu kutokuwa tegemezi
 
Kwa Tanzania bado hata kuthubutu hatuwezi kuvunja uhusiano na USA
 
Huo ndio ukweli ambao baadhi ya mataga hawapendi kuukubali kisa itikadi
 
Hilo swali unhemuuliza marehemu Mugabe. Mzee wale no nyuki ikiwagusa mkate Tanzania utaununua shs elf 20. Mugabe walimulisha njaa mpk wajida wakampa kifo ca mende kapinduka. Usichezee Mmarekani sharubu zake utajuta kuzaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…