Mkuu alitaka USA isitambue utawala wa mlowezi mzungu Ian Smith na iwawekee vikwazo vya uchumi.Kipimo cha "kuleta mabadiliko" kukoje mkuu sblandes'?
Unajuaje kuwa hakukuleta mabadiliko, au ulitaka siku hiyo hiyo ya "kuvunja uhusiano na Marekani" Uhuru wa Zimbabwe upatikane?
Wewe jamaa unatetea kitu ambacho hakiwezekani.Kumbe kama ni kwa 40% basi tuachane nao tu. Maana bila ya kuachana nao nchi yetu itaendelea kugawanyika kati ya Vibaraka wa mabeberu na wazalendo. Nadhani tukiachana nao Tanzania itabaki na wazalendo tu wanaopambana kwa manufaa ya nchi yao!!
Ni heri yao kuliko wakoloni weusiHawa ndiyo mabeberu wenyewe. Wao kila mara wanataka tufuate kila jambo lao na bado hawaridhiki. Ni wakoloni mambo leo hawa!!
TutafukizaArv utatengeneza wewe?
Hivi Bavicha mnamatatizo gani kwani sasa tuvunje mahusiano ili iweje?
Au umetumwa Mkuu
Hardworking pays!!!
Ye anasaza Hana cha kupoteza shida ni wananchi ndo watasotaMagufuri anaweza kuvunja uhusiano na yeyote, shida ni nyinyi mtaweza kuvumilia msoto!
Inawezekana mkuu kuvunja uhusiano na Marekani na watukome kabisa.Hivi kuna jambo lolote baya litatokea kama Tanzania tukiamua kuvunja uhusiano na Shirika la fedha Ulimwenguni (IMF), Benki ya Dunia (WB), au nchi ya Marekani? Badala ya mjadala wa kuendelea ama kutokuendelea kuwa na uhusiano na taasisi hizo ama nchi ya Marekani kwa nini kama taifa tusiamue uhusiano ufe?
Maana ni kama kila wakati inakuwa ni mjadala wa nani kibaraka ama mzalendo kuelekea taasisi hizo na nchi ya Marekani. Hivi kuna ulazima wa kuwa na Mahusiano nao?
Ni wakati wa kusimama na kutembea kwa miguu yetu wenyewe!!
Lakini mara kadhaa tumeonesha kwamba maisha yetu yanaweza kusonga mbele bila ya wao. Nakumbuka kwenye hotuba yake moja Mwalimu alisema kwamba haiwezekani kuwa - Defy hawa wakubwa. Lakini siku hizi tupo wazalendo tunaoamini ni wao wanaofaidika na sisi na si sisi tunaofaidika nao. KWA NINI TUSIACHANE NAO TU??Ni rahisi kuwafurusha Wasukuma kuliko kuvunja uhusiano na hao
Huwezi kuwa kisiwa utakufa.Lakini mara kadhaa tumeonesha kwamba maisha yetu yanaweza kusonga mbele bila ya wao. Nakumbuka kwenye hotuba yake moja Mwalimu alisema kwamba haiwezekani kuwa - Defy hawa wakubwa. Lakini siku hizi tupo wazalendo tunaoamini ni wao wanaofaidika na sisi na si sisi tunaofaidika nao. KWA NINI TUSIACHANE NAO TU??
Serikali imeshindwa kuondokana na mabenki ya ndani kama CRDB, NMB, Standard Chartered, n.k haya yanaidai serikali matrilioni ya shilling. Sasa utaondokanaje na hawa mabwana wa dunia akina World Bank, IFM, na hata African Development Bank imekuwa bwana mkubwa pia.Lakini mara kadhaa tumeonesha kwamba maisha yetu yanaweza kusonga mbele bila ya wao. Nakumbuka kwenye hotuba yake moja Mwalimu alisema kwamba haiwezekani kuwa - Defy hawa wakubwa. Lakini siku hizi tupo wazalendo tunaoamini ni wao wanaofaidika na sisi na si sisi tunaofaidika nao. KWA NINI TUSIACHANE NAO TU??
Ndio manake wanafikiri wanawadhalalilisha kwa kuwaita mabeberu kumbe wao wanakuwa mitamba automatically kwa kuwaita wengine mabeberu.Mnawaita mabeberu ila mkivunja uhusiano nao Leo wiki ijayo CCM haipo afrika
Aaaha, umeeleza kirefu mkuu 'sblandes'.Mkuu alitaka USA isitambue utawala wa mlowezi mzungu Ian Smith na iwawekee vikwazo vya uchumi.
Ian Smith alikuwa ametangaza na kunyinyakulia madaraka ya kutawala South Rhodesia ambayo sasa ni Zimbabwe baada ya wakoloni Waingereza kucheza rafu nyingi tu.Mwl Nyerere alibadirisha strategy akatafuta njia ya mazungumzo kimataifa na huku akiunga vita vya ukombozi.
USA haikubadirisha sera yake hadi 1980 ilipopatikana majority rule.