The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,264
Za sahizi wakuu!
Niliwahi kumsikiliza Dk Ndodi aliwaponda sana watu wanaowaita wake zao MAMA, alisema ni kuwakosea adabu wazazi waliotuzaa.
naomba tushare hapa najua kuna watu wa kila rika.
Niliwahi kumsikiliza Dk Ndodi aliwaponda sana watu wanaowaita wake zao MAMA, alisema ni kuwakosea adabu wazazi waliotuzaa.
naomba tushare hapa najua kuna watu wa kila rika.