Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

hahaha doktaz wamekua models za museum..
buku ten kumuona unalaumu, unadhani walisoma bure?


Elewa ninachomaanisha,pesa wanayokwapua hailingani na huduma wanayotoa just brabra ambazo hazina msaada wowote kwa mhudumiwa,majoho makubwa lakin sijaona hiko kitu kinachowafanya waitwe Specialist hii ni kwa wachache hasa waliopo hospital za serikali,huku ni kuwaweka wezi na kuwaibia wagonjwa kwa kutumia kivuli cha Specialist pumbaavu.
 
Elewa ninachomaanisha,pesa wanayokwapua hailingani na huduma wanayotoa just brabra ambazo hazina msaada wowote kwa mhudumiwa,majoho makubwa lakin sijaona hiko kitu kinachowafanya waitwe Specialist hii ni kwa wachache hasa waliopo hospital za serikali,huku ni kuwaweka wezi na kuwaibia wagonjwa kwa kutumia kivuli cha Specialist pumbaavu.
Sasa kama huwaamini unawafata wa nini? We una uhakika gani kama ushauri aliokupa haufai huku we sio dokta? kama unajua haufai si ungejibitu mwenyewe... Sijawahi enda kwa daktari nikatoka hali ileile hata siku moja, we matatizo yako inaonekana level nyingine kabisa
 
Huo ubingwa wake sijauona maana maelezo yake aliyonipa hayatoshelezi kabisa kwa yeye kuitwa bingwa,na kama yangetosheleza nisingesema chochote,mnajivisha majoho ya ubingwa kumbe bure kabisa.Huu ni wizi.
Ndio maana alikucharge elfu kumi... Huo si muda wa kukaa cafe na ku google mwenyewe...
 
Ni sawa tu. Wamehaha miaka mi5 kuutafuta udaktari, ulitaka umuone kwa tsh2000? Mbona kumuona mganga wa kienyeji/mpiga ramli/sangoma unalipa mpaka laki moja? Alafu anakwambia umpe na majogoo, mchele unatoa bila tatizo?
 
hivi huu utaratibu wa kutoa elf 10 kwenda kumuona daktari kabla ya tiba ni sahihi wajameni !?

Nimetozwa mwekundu kumuona daktari wa ngozi (temeke hospital),maelezo niliyopewa na huyo skin specialist nikilinganisha na muda nilioutumia kuitafuta hiyo buku kumi hayalingani kabisa. Wa hali ya chin tunaumia maana nimeshindwa kununua hata dawa naona kama nimeenda kumtunza daktari pumbaaavuu.

Serikali liangalien hili naona sasa watoa huduma za afya wameona kugoma ni kupoteza muda badala yake wanacharge pesa ambazo hazistahili.
ikuangalie loh!!jiangalie wewee ulieichagua
 
Mkuu hiyo inaitwa cost sharing. Unadhani taasisi hizi zitajiendesha vipi bila wananchi kuchangia huduma. Serikali kwa kutambua kuwa Haina uwezo wa kutosha kuhudumia taasisi zake za afya ndio ikaruhusu hizi cash collections ambazo basically zinatumika kuendesha taasisi hizo. So serkali ina tambua hilo mkuu.
 
Siku nyingine mnatafutana wagonjwa mnaofana kumi halafu mmoja tu ndio anaenda kumwona dokta,waliobakia wanafanya udukuzi tiba!

Teh teh teh teh!!

One of the best advice ever.
 
Back
Top Bottom