Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,342
Yalinikuta, niliambiwa nikamuone specialist muhimbili, nilipofika mapokezi wakanishauri nipitie FAST TRACK ili iwe rahisi kumuona daktari siku iyo iyo. Nikaripia kumuona, 10,000/- nikaelekezwa niende reception ya fast track, kufika nikakuta foleni ya FAST TRACK,
dah hamna jinsi nikakaa saa1 asubuhi nikapewa namba ya saa5 nikaenda benchi ya daktari mpaka saa 8 mchana zamu yangu , uyooo ndani...nikakuta specialist yuko na sijui Interns wa kike kama3 ivi anawafundisha kwa vitendo, yaani wanapiga story tu full time...kama dakika5 ivi nimekaa wanapiga stori then doctor akanisikiliza, tukusaidie...
nikajielezaaaaa, naye akanipa maelezooo, kama dakika3 ivi then akasema 'ndugu itabidi urudi kesho asubuhi tukucheki maana muda umeenda na nakaribia kuondoka' ...nilitaka kulia , nikatoka nje na kikadi changu mpaka receiption kuuliza nikirudi naanzia wapi, wakasema au unachukua faili pale chini unakuja folen au unakuja dirisha la FAST TRACK unalipia tena 10,000....
shenzi type naumwa niuambie ugonjwa 'daktari kasema kesho' ....nilinyoosha mpaka kwa Kahiruki Hospital, nakumbuka nilikutana na Dr Nelson msomalia na Dr Ndille wa Mikocheni, ilikuwa jumatano, nikapangiwa Operation kubwa ALHAMIS, Dr ndille alisema ndugu usiporudi ijumaa wasalimie mbinguni... usile kitu , usilambe glucose....' ijumaa nilikua wodini mapema, operation iliyochukua masaa kama5 na gharama ya milioni 2, huu ndio ulikuwa KURUDISHA UHAI WANGU
SINA CHA KUKUPA ILA DR NDILLE NA UYO MSOMALIA DR NELSON MUNGU AWABARIKI KWA KAZI ZA MIKONO YENU!!
dah hamna jinsi nikakaa saa1 asubuhi nikapewa namba ya saa5 nikaenda benchi ya daktari mpaka saa 8 mchana zamu yangu , uyooo ndani...nikakuta specialist yuko na sijui Interns wa kike kama3 ivi anawafundisha kwa vitendo, yaani wanapiga story tu full time...kama dakika5 ivi nimekaa wanapiga stori then doctor akanisikiliza, tukusaidie...
nikajielezaaaaa, naye akanipa maelezooo, kama dakika3 ivi then akasema 'ndugu itabidi urudi kesho asubuhi tukucheki maana muda umeenda na nakaribia kuondoka' ...nilitaka kulia , nikatoka nje na kikadi changu mpaka receiption kuuliza nikirudi naanzia wapi, wakasema au unachukua faili pale chini unakuja folen au unakuja dirisha la FAST TRACK unalipia tena 10,000....
shenzi type naumwa niuambie ugonjwa 'daktari kasema kesho' ....nilinyoosha mpaka kwa Kahiruki Hospital, nakumbuka nilikutana na Dr Nelson msomalia na Dr Ndille wa Mikocheni, ilikuwa jumatano, nikapangiwa Operation kubwa ALHAMIS, Dr ndille alisema ndugu usiporudi ijumaa wasalimie mbinguni... usile kitu , usilambe glucose....' ijumaa nilikua wodini mapema, operation iliyochukua masaa kama5 na gharama ya milioni 2, huu ndio ulikuwa KURUDISHA UHAI WANGU
SINA CHA KUKUPA ILA DR NDILLE NA UYO MSOMALIA DR NELSON MUNGU AWABARIKI KWA KAZI ZA MIKONO YENU!!