Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,542
Hospital ya primere care Kinondoni -Namanga,Kumuona daktari ni Tsh 58000/= wakuu,nilikwenda hapo last week,
Madaktari ni Wafaransa,Wajerumani,Wakenya na Mcuba.
Mkuu ina maana hiyo gharama ni kutokana na utaifa wa hao madaktari?