Kumuita Kikwete Dr. sio "kuchakachua" usomi?

Hii imekaaje:

Dr. Jakaya Mrisho Kikwete! Period!
The rest of you with contrary view, go hang!

Ndio ukweli!
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi
sina uhakika na uelewa wako kama si kiwango cha kujua ama una ilimu na si Elimu, nenda kawadanganye majuha wenziyo hapa
huna mtu wa kumpeleka malikiti ebooo kwanza umeingiaje humu ndani weye?
 
HAHA HIYO PICHA SI MTU ANGALIA TENA... NI KIKARAGOSI KINAKOJOLEA TAIFA LA VILAZA, alafu mimi siye niliyetoa ahadi ya kusomesha BURE

yaani elimu bure kuanzia nursery school hadi Uni.. tatizo slaa anafkiri wa tz woote ni vilaza kama yeye tunaweza kuamini ahadi kama hizo ! mathematically hiyo kitu ni impossible katika nchi yenye watu million 40 .





usidanganye mkuu. umeshuhudia jinsi DR WS alivyoelezea uwezekano wa kugharamikia elimu ya bure? inawezekana kabisa mkuu.
 
Hii imekaaje:

Dr. Jakaya Mrisho Kikwete! Period!
The rest of you with contrary view, go hang!

Ndio ukweli!

Why should we hang ourselves..sie na mbavu zetu tunakenua jinsi mtu mzima anavojichoresha..ha ha ha ha..
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

UBUNIFU!!!!!??? wa kuwafanyia watu usanii au wa kulinda mafisadi????
 
Requirements for the doctor title

Graduates of the 6 year medical schools, the 5 year law schools and the 5 year veterinary medical schools receive the doctor title at the end of their studies. Completing a PhD research programme also leads to the doctor title.Sasa waulize TBC hiyo ya jk ni ipi?
 
Katatua mgogoro kenya kashndwa kutatua umeme bongo, kweli huyu dr
 
Kwani Slaa ni Dr wa nini vile?

Barubaru najua hii post ni ya siku nyingi, lakini nataka nikuambie kuwa kilichokuwa kinaongelewa hapa ni kuhus nini hasa alichosemea/research mpewa udaktari;i.e. amesomea kufagia, au kupiga mbiu au kufanya upasuaji wa ubungo nk. Kwa mfano Slaa amesomea sheria za dini - Cannon Law hivyo kupata Doctorate, vile vile Dr. Gharib Bilal amesomea chemia kwenye mambo ya nuclear na kupata huo U-doctorate. Sasa swali hapa, Kikwete amesemea/research kwenye nini? Huu ndio msingi wa swali wanalouliza watu wengi.

Kama Doctorate aliyopata ni ya heshma basi hii title inatumika kwenye CV/profile yake na siyo kuambatana na jina Dr.fulani. Kufanya hivyo ni kutojua hata matumizi ya hizi title let alone the research subject. Kuna aibu kubwa sana inaendelea hapa nchini kwa watu kujiita Dr kumbe u-doctor wenyewe ni heshma. Bungeni wamejaa tele. Hii ni aibu kwa Taifa kwamba hatujui hata matumizi ya hizi title? Na inatoa picha gani kwa watoto? kwamba wanaweza kupata title za elimu kwa njia ya mkato? Taifa gani hili lisilojali elimu badala yake limejikita kwenye title za bandia? Si vyote ving'aavyo ni dhahabu.

Kwa kuunganisha hapa nimewahi kusikia watu wanaita watanzania wengine SIR na kusema kuwa walipewa huo U-SIR na Malkia wa Uingereza. Mfano Sir Chande. Kwa uelewa wangu kama malkia anakutunuku huu u-Sir lakini wewe sio mzaliwa wa Britain (wanaita -British subject) basi hiyo title yako utaitumia kwenye LETTER-HEAD, na sio kuita Sir fulani. Utaitwa Sir Fulani tu iwapo wewe ni British subject. Kwa mfano George Bush (Senior) na Steven Spielberg, hawa wametunukiwa hizo nighthood yaani -u-Sir na Malkia. Lakini haijasika hata mara moja wakisema wao ni Sir-this or that!

Ni vizuri tuepuke hizi aibu maana kwa mtu mwenye akili timamu akikusikia unajipachika title za bandia anakudharau.
 
Katika siku za karibuni utambulisho wa JK kuitwa Dr umepamba moto hasa kupitia TBC1. Kila nikisikiliza taarifa utasikia Dr. Kikwete kafanya hiki, mara kile..Binafsi naona huu ni uchakachuaji wa elimu. Nia hasa ya vyombo hivyo vya propaganda ni kutaka kufananisha usomi wa mgombea wa chama fulani (ambaye ni PhD holder) na wa Kikwete. Binafsi sifurahii sana kusikia mtu aliyepewa heshima tu, kwa sababu zinazojulikana kwa Wakenya waliompa, akijinadi kwa kujiita Dr. In fact, it doesn't sound well! Tusome jamani!:A S angry::glasses-nerdy:

An honorary degree[SUP][1][/SUP] or a degree honoris causa (Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university (or other degree-awarding institution) has waived the usual requirements, such as matriculation, residence, study, and the passing of examinations. The degree is typically a doctorate or, less commonly, a master's degree, and may be awarded to someone who has no prior connection with the academic institution.
Usually the degree is conferred as a way of honoring a distinguished visitor's contributions to a specific field, or to society in general. The university often derives benefits by association with the person in question.




Recipients of an honorary doctorate may if they wish adopt the title of "doctor". In many countries, including the United Kingdom, Australia, New Zealand, and the United States, it is now a matter of personal preference should an honorary doctor use the formal title of "doctor", regardless of the background circumstances for the award. Written communications where an honorary doctorate has been awarded may include the letters h.c. after the award to indicate the status.
Notable people using the honorary prefix include:

  • Benjamin Franklin, who received an honorary master's degree from The College of William and Mary in 1756, and doctorates from the University of St. Andrews in 1759 and the University of Oxford in 1762 for his scientific accomplishments. He thereafter referred to himself as "Doctor Franklin." [SUP][3][/SUP]
  • Peter Hollingworth, AC, OBE, Governor-General of Australia from 2001 until 2003, styled himself as "Dr Hollingworth" whilst holding that office. This was one of several controversies attending his tenure as Governor-General, since, although he held six honorary doctorates from Australian universities, it was (and remains) contrary to Australian tradition for the grantee of an honorary doctorate to use the title in public life. If there was any justification for this departure from convention, it lay in the fact that most persons previously appointed to the position already held a formal title - such as a British knighthood or peerage, or a military rank - whereas Hollingworth's previous title, "Most Reverend", derived from his former position as the Anglican Archbishop of Brisbane, and was considered inappropriate for a person holding an official position in a country which maintains a formal separation between Church and State. In any event, the situation was regularised on 21 May 2001, when Hollingworth was awarded the Lambeth degree of Doctor of Letters (DLitt) by the Archbishop of Canterbury, Dr George Carey, in recognition of his research, publications, teaching and achievement in the field of Christian social ethics, social welfare and poverty in Australia and episcopal leadership.[SUP][4][/SUP]
  • Billy Graham is regularly addressed as Dr. Graham, though his highest earned degree is a BA in anthropology from Wheaton College.[SUP][5][/SUP] He holds 20 honorary doctorates and has turned down nearly twice as many.[SUP][citation needed][/SUP]
  • Ian Paisley holds an honorary Doctor of Divinity awarded by Bob Jones University, a conservative evangelical Christian college in Greenville, South Carolina.
  • Maya Angelou who calls herself and is referred to by many as Dr. Angelou despite holding no undergraduate or advanced (non-honorary) degree.[SUP][6][/SUP]
  • Booker T. Washington is often referred to as "Dr. Washington" after receiving an honorary doctorate from Dartmouth College.
  • The University of Exeter has awarded honorary D.Litt degrees and subsequently referred to the recipients as Doctor.[SUP][7][/SUP]
  • Terry Wogan has received an honorary doctorate from the University of Limerick, and refers to himself as "Doctor" on air.
  • Judy MacArthur Clark CBE (Chief Inspector of the Animals (Scientific Procedures) Inspectorate, former President of the Royal College of Veterinary Surgeons, and former Chair of the Farm Animal Welfare Council[SUP][8][/SUP]) received an honorary doctorate of veterinary medicine and surgery (DVMS) from the University of Glasgow,[SUP][9][/SUP] and refers to herself professionally as "Doctor".[SUP][10][/SUP]
  • Ralph Stanley, the bluegrass artist, is referred to by many people[SUP][citation needed][/SUP] and refers to himself as "Doctor" after being awarded an honorary Doctorate of Music from Lincoln Memorial University in Harrogate, Tennessee, in 1976.
  • Hunter S. Thompson, journalist and creator of Gonzo Journalism, received an honorary doctorate from the Universal Life Church in the late 1960s.[SUP][11][/SUP] Thompson often insisted on the title, as did his alter ego Raoul Duke in Fear and Loathing in Las Vegas who claimed to be a "Doctor of Journalism".
  • Stephen Colbert received an honorary doctorate of fine arts from Knox College in 2006. Since then, the credits of The Colbert Report jokingly refer to him as "Dr. Stephen T. Colbert, D.F.A." (which uses both the title "Dr." and a postnominal, which is improper). The same title is used in a recurring segment on the show, in which Colbert dispenses dubious medical advice despite his degree being Doctor of Fine Arts.
  • Mirza Ahmad received an honorary Doctor of Laws from Manchester Metropolitan University in 2007. Since then, the credits of every document produced by Birmingham City Council refer to him as "Dr. Mirza Ahmad LLD (hon), MBA., LL.M, Barrister."
  • Rachel Carson received four honorary degrees after her best selling "The Sea Around Us" from: Pennsylvania College for Women; the second from Oberlin College in Oberlin, Ohio; the third from Smith College in Northampton, Massachusetts; and the fourth from Drexel Institute of Technology in Philadelphia.[SUP][12][/SUP]
  • Jakaya Mrisho Kikwete, the current President of The United Republic of Tanzania, has often been referred to as Dr. Kikwete for his Honorary Degree received from the Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) in Tanzania.
In the United Kingdom the author and lexicographer Dr. Samuel Johnson, who had some years earlier been unable (due to financial considerations) to complete his undergraduate studies at Pembroke College, Oxford, was awarded the degree of Master of Arts by diploma in 1755, in recognition of his scholarly achievements. In 1765, Trinity College, Dublin awarded him the degree of Doctor of Laws, and in 1775 Oxford bestowed upon him the degree of Doctor of Civil Law by diploma. It is unclear how much these degrees count as "honorary", though, as they were bestowed in recognition of a specific, undoubtedly substantial and original scholarly work, and one that was arguably far more deserving than many other doctoral theses submitted at the time.[SUP][citation needed][/SUP]
The recipient of an honorary degree may add the degree title postnominally, but it should always be made clear that the degree is honorary by adding "honorary" or "honoris causa" or "h.c." in parenthesis after the degree title. In many countries, one who holds an honorary doctorate may use the title "doctor" prenominally, abbreviated Dr.h.c. or Dr.(h.c.). Sometimes, they use "Hon" before the degree letters, for example, Hon DMus.
In recent years, some universities have adopted entirely separate post nominal titles for honorary degrees. This is in part due to the confusion that honorary degrees have caused. It is now common in certain countries to use certain degrees, such as LL.D. or Hon.D., as purely honorary. For instance, an honorary doctor of the Auckland University of Technology takes the special title Hon.D. instead of the usual Ph.D. Some universities, including the Open University grant Doctorates of the University (D.Univ.) to selected nominees, while awarding Ph.D. or Ed.D. degrees to those who have fulfilled the academic requirements.
Most American universities award the degrees of LL.D. (Doctor of Laws), the Litt.D. (Doctor of Letters), the L.H.D. (Doctor of Humane Letters), the Sc.D. (Doctor of Science), the Ped.D. (Doctor of Pedagogy) and the D.D. (Doctor of Divinity) only as honorary degrees. American universities do not have the system of "higher doctorates" used in the UK and at other universities around the world.
 
Barubaru najua hii post ni ya siku nyingi, lakini nataka nikuambie kuwa kilichokuwa kinaongelewa hapa ni kuhus nini hasa alichosemea/research mpewa udaktari;i.e. amesomea kufagia, au kupiga mbiu au kufanya upasuaji wa ubungo nk. Kwa mfano Slaa amesomea sheria za dini - Cannon Law hivyo kupata Doctorate, vile vile Dr. Gharib Bilal amesomea chemia kwenye mambo ya nuclear na kupata huo U-doctorate. Sasa swali hapa, Kikwete amesemea/research kwenye nini? Huu ndio msingi wa swali wanalouliza watu wengi.

Kama Doctorate aliyopata ni ya heshma basi hii title inatumika kwenye CV/profile yake na siyo kuambatana na jina Dr.fulani. Kufanya hivyo ni kutojua hata matumizi ya hizi title let alone the research subject. Kuna aibu kubwa sana inaendelea hapa nchini kwa watu kujiita Dr kumbe u-doctor wenyewe ni heshma. Bungeni wamejaa tele. Hii ni aibu kwa Taifa kwamba hatujui hata matumizi ya hizi title? Na inatoa picha gani kwa watoto? kwamba wanaweza kupata title za elimu kwa njia ya mkato? Taifa gani hili lisilojali elimu badala yake limejikita kwenye title za bandia? Si vyote ving'aavyo ni dhahabu.

Kwa kuunganisha hapa nimewahi kusikia watu wanaita watanzania wengine SIR na kusema kuwa walipewa huo U-SIR na Malkia wa Uingereza. Mfano Sir Chande. Kwa uelewa wangu kama malkia anakutunuku huu u-Sir lakini wewe sio mzaliwa wa Britain (wanaita -British subject) basi hiyo title yako utaitumia kwenye LETTER-HEAD, na sio kuita Sir fulani. Utaitwa Sir Fulani tu iwapo wewe ni British subject. Kwa mfano George Bush (Senior) na Steven Spielberg, hawa wametunukiwa hizo nighthood yaani -u-Sir na Malkia. Lakini haijasika hata mara moja wakisema wao ni Sir-this or that!

Ni vizuri tuepuke hizi aibu maana kwa mtu mwenye akili timamu akikusikia unajipachika title za bandia anakudharau.


Benjamin Franklin, who received an honorary master's degree from The College of William and Mary in 1756, and doctorates from the University of St. Andrews in 1759 and the University of Oxford in 1762 for his scientific accomplishments. He thereafter referred to himself as "Doctor Franklin."
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi


Wewe itabidi upimwe akili, si bure lazima malaria sugu imepanda kichwani
 
HAHA HIYO PICHA SI MTU ANGALIA TENA... NI KIKARAGOSI KINAKOJOLEA TAIFA LA VILAZA, alafu mimi siye niliyetoa ahadi ya kusomesha BURE

yaani elimu bure kuanzia nursery school hadi Uni.. tatizo slaa anafkiri wa tz woote ni vilaza kama yeye tunaweza kuamini ahadi kama hizo ! mathematically hiyo kitu ni impossible katika nchi yenye watu million 40 .

Mkulu
Suala la provision of free education lilikuwepo hapo awali kipindi cha mwalimu na kwa wakati huo nchi yetu ilikuwa inauza korosho,pamba na katani kama mazao ya biashara nje ya nchi.

Leo hii nchi hii inatoa Dhahabu,Almani na madini mengine yenye thamani kubwa ingawa tupo 40ml plus hilo linawezekana na hata wewe litakusaidia.

Tuache malumbano yasiyokuwa na tija.
 
Hata udaktari wa Slaa DD ni wakupewa na si wakusoma, hana hata Bachelors degree ya kumfikia Kikwete, kama anayo tuonesheni.
 
Hata udaktari wa Slaa DD ni wakupewa na si wakusoma, hana hata degree moja ya Unibersity ya kumfikia Kikwete, kama anayo tuonesheni.
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

Pole sana ndugu yangu kama uelewa wako pia unaishia hapo!
 
Back
Top Bottom