Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,479
Kwa hiyo unasema Mungu hajaumba huu ulimwengu?Uumbaji ni sifa ya Mungu sijamtenganisha nayo, ambapo hatuelewani na ndipo lilipo tatizo lako ni uhusishwaji wa Mungu na uumbwaji wa huu ulimwengu.