Acha kubishana kuhusu Dini. Dini ni biashara za watu

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Feb 17, 2023
908
1,064
Mwandishi
Hemedyjrjunior
/kimodomsafi
........
Allhamudulilah kwa siku nyingine tena
allha anazidi kutenda mijuiza Amen.
Leo niko na mada.

Hakuna dini itakayokupeleka mbinguni tofauti na matendo yako mema yamfurahishayo Mungu.

Watu wengi wamekuwa wakikadhania dini njoo uku, twende kule yaani kutanga tanga na shida za dunia ila hawajui ukianza kutanga tanga nikwamba umekosa direction so kinachofuta unaenda kuanguka.

Tumejaliwa elimu ya kuweza kutambua mambo au majambo kuna vitu viko kwasababu ya utashi wa binadamu kwakuw binadamu yuko na maarifa na mwenyezi mungu amemjalia mwanadamu maarifa so usishangae kinachofanywa na MWANADAMU afu ukapagawa. Icho hata sio punje, mungu anatenda na kuonesha ukuu wake.

Dini ni mwongozo katika maisha ya binadamu kidunia kwahyo ni taasis za watu au ya mtu ili mambo yaende ila ukikosa ufahamu utabisha mpaka kufa.

Kwenye dini ndo kunakozungumzwa maswala ya mungu na kuhabarishana historia za waliopita walifanya nini .nadhani naeleweka na dini zilikuja au zilietwa na watu ili wafanye biashara (hapa sio kwamba uniamini but najaribu kuumiza kichwa wakati usislamu unakuja waarabu walikuwa wanafanya biashara ya utumwa kwahiyo mwenyezi Mungu alikuwa anapenda vile au ilikuwa njia sahihi ya kuijua dini ni nini?

Maana ilikuwa ni mateso kwa kipindi hicho. Hata hivyo na kwa wakristo wamissionary nao WALIKUJA kwa gia hiyo ya kununua watumwa na kueneza dini yao uku wakianzisha shule za seminar KUFUNDISHA upadiri n.k.

Narudia dini bora ni imani yako thabit ya kumwamini Mola wako kila kuchwao na kutenda mema kushika yote aliyokataza na aliyoamrisha kufanywa mengine wameongeza kutokana na dini zao zinavosema.

Elimu | akili......
Ukiwa na akili utapata elimu. Uwe na siku njema.

Dini lengo iwepo amani ila sasa now vita iko kwasababu ya dini, watu wanatengana kwa sababu ya dini duuh Allha tufungue,tunusuru maana sio kwema kila mtu anajiona mbora zaidi ya mwenzake.

Waarabu/wahindi au watu weupe ubaguzi kwa waafrika hapa kulikoni.
Imeandaliwa na Kimodomsafi toka Mwaro Tv
 
Mnashangaza! Mnaleta nyuzi za kupinga mabishano ya dini, kama unajenga hoja unatakaje, uungwe mkono tu bila kupingwa? We mwenyewe umeanza kwa maneno ya kiarabu ambayo ni maneno ya kiislam. Tayari unatumia dini halafu hutaki mabishano
 
Unaonekana ni muislam, kama waislam wakianza kuja na mtazamo huu chuki zitapungua dhidi ya wengine wasio waislam, upande wa ukristo hauna mafundisho ya chuki zaidi ya upendo kwa wote. Kuhusu biashara ya utumwa mwandishi anafunguka na kuwataja waliofanya na kununua. Afahamu pia hao anaodai walinunua ndio walipiga marufuku biashara hiyo wakati waliouza hawakujutia. Ifike muda hao wote waliohusika kufanya ushenzi huo waombe radhi. Wazungu wako radhi kuomba radhi kama wanavyofanya kwenye makanisa yao ukora walioufanya karne nyingi zilizopita, lakini hatujawahi kusoma wala kusikia ushenzi walioufanya waarabu kwa waafrika kuwauza kama nyanya. Watumie dini yao walioineza kwa waafrika kuomba radhi ni uungwana
 
Mnashangaza! Mnaleta nyuzi za kupinga mabishano ya dini, kama unajenga hoja unatakaje, uungwe mkono tu bila kupingwa? We mwenyewe umeanza kwa maneno ya kiarabu ambayo ni maneno ya kiislam. Tayari unatumia dini halafu hutaki mabishano
Eti maneno ya kiisalamu. Kiarabu sio uislamu kiarabu ni lugha kama lugha
 
Unaonekana ni muislam, kama waislam wakianza kuja na mtazamo huu chuki zitapungua dhidi ya wengine wasio waislam, upande wa ukristo hauna mafundisho ya chuki zaidi ya upendo kwa wote. Kuhusu biashara ya utumwa mwandishi anafunguka na kuwataja waliofanya na kununua. Afahamu pia hao anaodai walinunua ndio walipiga marufuku biashara hiyo wakati waliouza hawakujutia. Ifike muda hao wote waliohusika kufanya ushenzi huo waombe radhi. Wazungu wako radhi kuomba radhi kama wanavyofanya kwenye makanisa yao ukora walioufanya karne nyingi zilizopita, lakini hatujawahi kusoma wala kusikia ushenzi walioufanya waarabu kwa waafrika kuwauza kama nyanya. Watumie dini yao walioineza kwa waafrika kuomba radhi ni uungwana
ubaguzi bado upo
 
Mwandishi
Hemedyjrjunior
/kimodomsafi
........
Allhamudulilah kwa siku nyingine tena
allha anazidi kutenda mijuiza Amen.
Leo niko na mada.

Hakuna dini itakayokupeleka mbinguni tofauti na matendo yako mema yamfurahishayo Mungu.

Watu wengi wamekuwa wakikadhania dini njoo uku, twende kule yaani kutanga tanga na shida za dunia ila hawajui ukianza kutanga tanga nikwamba umekosa direction so kinachofuta unaenda kuanguka.

Tumejaliwa elimu ya kuweza kutambua mambo au majambo kuna vitu viko kwasababu ya utashi wa binadamu kwakuw binadamu yuko na maarifa na mwenyezi mungu amemjalia mwanadamu maarifa so usishangae kinachofanywa na MWANADAMU afu ukapagawa. Icho hata sio punje, mungu anatenda na kuonesha ukuu wake.

Dini ni mwongozo katika maisha ya binadamu kidunia kwahyo ni taasis za watu au ya mtu ili mambo yaende ila ukikosa ufahamu utabisha mpaka kufa.

Kwenye dini ndo kunakozungumzwa maswala ya mungu na kuhabarishana historia za waliopita walifanya nini .nadhani naeleweka na dini zilikuja au zilietwa na watu ili wafanye biashara (hapa sio kwamba uniamini but najaribu kuumiza kichwa wakati usislamu unakuja waarabu walikuwa wanafanya biashara ya utumwa kwahiyo mwenyezi Mungu alikuwa anapenda vile au ilikuwa njia sahihi ya kuijua dini ni nini?

Maana ilikuwa ni mateso kwa kipindi hicho. Hata hivyo na kwa wakristo wamissionary nao WALIKUJA kwa gia hiyo ya kununua watumwa na kueneza dini yao uku wakianzisha shule za seminar KUFUNDISHA upadiri n.k.

Narudia dini bora ni imani yako thabit ya kumwamini Mola wako kila kuchwao na kutenda mema kushika yote aliyokataza na aliyoamrisha kufanywa mengine wameongeza kutokana na dini zao zinavosema.

Elimu | akili......
Ukiwa na akili utapata elimu. Uwe na siku njema.

Dini lengo iwepo amani ila sasa now vita iko kwasababu ya dini, watu wanatengana kwa sababu ya dini duuh Allha tufungue,tunusuru maana sio kwema kila mtu anajiona mbora zaidi ya mwenzake.

Waarabu/wahindi au watu weupe ubaguzi kwa waafrika hapa kulikoni.
Imeandaliwa na Kimodomsafi toka Mwaro Tv
Kama unaona dini ni biashara ingekua vyema na wewe ukaacha kumuamini allah.Rudi kwenye asili yako ya kibantu achana na dini za kigeni.Mambo ya dini yana utata sana mkuu
 
Mnashangaza! Mnaleta nyuzi za kupinga mabishano ya dini, kama unajenga hoja unatakaje, uungwe mkono tu bila kupingwa? We mwenyewe umeanza kwa maneno ya kiarabu ambayo ni maneno ya kiislam. Tayari unatumia dini halafu hutaki mabishano
Mtoa mada kamtaja allah afu bado anasema dini ni biashara🤣🤣🤣Ametisha.Hata kwenda hija ile ni biashara ya serikali ya kifalme ya wana ukoo wa al saud.
 
Kama unaona dini ni biashara ingekua vyema na wewe ukaacha kumuamini allah.Rudi kwenye asili yako ya kibantu achana na dini za kigeni.Mambo ya dini yana utata sana mkuu
Allha maanake nini au allhamudulilah maanake nini?.tatizo Maarifa ndugu Allha sio uisalam (Allha ni lugha ya kiarabu ikiwa na maana ya Mungu "katonda,mrungu n.k) mungu ni mungu tu ata ukirudi kwa kibantu. Me hapa sijazungumzia udini.
 
Allha maanake nini au allhamudulilah maanake nini?.tatizo Maarifa ndugu Allha sio uisalam (Allha ni lugha ya kiarabu ikiwa na maana ya Mungu "katonda,mrungu n.k) mungu ni mungu tu ata ukirudi kwa kibantu. Me hapa sijazungumzia udini.
Mkuu mungu wa wabantu hawezi kuitwa Allah,sababu huyo Allah hana utaratibu wa kibantu anatumia utaratibu wa kiarabu na dini yake inatumia lugha ya kiarabu.Katonda mungu wa wahaya na wanyambo utaratibu wake ni tofauti na allah,na hatumii lugha ya kiarabu au taratibu za kiarabu katika imani za wahaya au wanyambo,anatumia taratibu za kihaya au kinyambo mkuu.Mungu hawezi kua mungu tu na ndio maana kila dini hapa duniani ina mungu wake mkuu
 
Mkuu mungu wa wabantu hawezi kuitwa Allah,sababu huyo Allah hana utaratibu wa kibantu anatumia utaratibu wa kiarabu na dini yake inatumia lugha ya kiarabu.Katonda mungu wa wahaya na wanyambo utaratibu wake ni tofauti na allah,na hatumii lugha ya kiarabu au taratibu za kiarabu katika imani za wahaya au wanyambo.Mungu hawezi kua mungu tu na ndio maana kila dini au imani ina mungu wake mkuu
Sio kweli... na hujajibu swali.
Kwani kuna mungu wangapi? Unachekesha mkuu
 
Ukweli ndio huo mkuu ila unaogopa kuukubali.
Sio kweli... na hujajibu swali.
Kwani kuna mungu wangapi? Unachekesha mkuu
Allah ni mungu wa waislamu,Yesu ni mungu wa wakrsto na Krishina na ukoo wake mungu wao wahindu na wabantu tuna mungu wetu kutokana na jamii zetu.Ukitaka kujua kila dini ina mungu wake angalia mapokeo yao yapo tofauti tofauti na kila mmoja hamkubali mungu wa mwenzake.
 
Ukweli ndio huo mkuu ila unaogopa kuukubali.

Allah ni mungu wa waislamu,Yesu ni mungu wa wakrsto na Krishina na ukoo wake mungu wao wahindu na wabantu tuna mungu wetu kutokana na jamii zetu.Ukitaka kujua kila dini ina mungu wake angalia mapokeo yao yapo tofauti tofauti na kila mmoja hamkubali mungu wa mwenzake.
😁😁😁😁 someni au uliza wa jf wakusaidie kijana
 
Mwandishi
Hemedyjrjunior
/kimodomsafi
........
Allhamudulilah kwa siku nyingine tena
allha anazidi kutenda mijuiza Amen.
Leo niko na mada.

Hakuna dini itakayokupeleka mbinguni tofauti na matendo yako mema yamfurahishayo Mungu.

Watu wengi wamekuwa wakikadhania dini njoo uku, twende kule yaani kutanga tanga na shida za dunia ila hawajui ukianza kutanga tanga nikwamba umekosa direction so kinachofuta unaenda kuanguka.

Tumejaliwa elimu ya kuweza kutambua mambo au majambo kuna vitu viko kwasababu ya utashi wa binadamu kwakuw binadamu yuko na maarifa na mwenyezi mungu amemjalia mwanadamu maarifa so usishangae kinachofanywa na MWANADAMU afu ukapagawa. Icho hata sio punje, mungu anatenda na kuonesha ukuu wake.

Dini ni mwongozo katika maisha ya binadamu kidunia kwahyo ni taasis za watu au ya mtu ili mambo yaende ila ukikosa ufahamu utabisha mpaka kufa.

Kwenye dini ndo kunakozungumzwa maswala ya mungu na kuhabarishana historia za waliopita walifanya nini .nadhani naeleweka na dini zilikuja au zilietwa na watu ili wafanye biashara (hapa sio kwamba uniamini but najaribu kuumiza kichwa wakati usislamu unakuja waarabu walikuwa wanafanya biashara ya utumwa kwahiyo mwenyezi Mungu alikuwa anapenda vile au ilikuwa njia sahihi ya kuijua dini ni nini?

Maana ilikuwa ni mateso kwa kipindi hicho. Hata hivyo na kwa wakristo wamissionary nao WALIKUJA kwa gia hiyo ya kununua watumwa na kueneza dini yao uku wakianzisha shule za seminar KUFUNDISHA upadiri n.k.

Narudia dini bora ni imani yako thabit ya kumwamini Mola wako kila kuchwao na kutenda mema kushika yote aliyokataza na aliyoamrisha kufanywa mengine wameongeza kutokana na dini zao zinavosema.

Elimu | akili......
Ukiwa na akili utapata elimu. Uwe na siku njema.

Dini lengo iwepo amani ila sasa now vita iko kwasababu ya dini, watu wanatengana kwa sababu ya dini duuh Allha tufungue,tunusuru maana sio kwema kila mtu anajiona mbora zaidi ya mwenzake.

Waarabu/wahindi au watu weupe ubaguzi kwa waafrika hapa kulikoni.
Imeandaliwa na Kimodomsafi toka Mwaro Tv

Huwa nashangaa sana mtu mweusi kumwita mweusi mwenzie kafiri huu ni upuuzi mtupu eti kisa dini za wageni,pia kuna huu upuuzi eti kubaguana kwa sababu ya dini,kutoozesha watoto kwasababu ya dini,upuuzi mtupu,kwangu dini naona imekuja kutuletea utengano na hofu kati yetu achilia mbali ugaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom