Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,384
- 105,226
Sasa huyo anayesema hakuna mungu unaanzaje kumuambia kua umuoneshe mungu ilihali umekiri kua anasema hakuna munguNazungumzia na mtu anayesema hakuna Mungu hivyo ni wazi anaelewa aina ya huyo Mungu.
Ataonaje kitu ambacho hakipo?
Wewe unayesema kipo ni wazi unakielewa kinafananaje mpaka ukajua kipo.
Tuelezee sifa za huyo mungu wako ili tujiandae kupata majibu ya namna hiyo hiyo iwapo ukituonesha