Mugunga
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 640
- 911
Katika maisha yangu ya shule niliwaheshimu mno walimu wangu.Haikuwahi kutokea haya siku moja nikawaza kumtongoza mwalimu wangu.
Ukipitia baadhi ya thread humu utagundua kuwa kuna watu ambao wameshawahi kufanya mapenzi na walimu wao na inaonekana sio issue!Jambo hili linanishangaza!Unaanzaje kumtongoza? Au yeye ndiye anajenga mazingira ya kutongozwa?
Ukipitia baadhi ya thread humu utagundua kuwa kuna watu ambao wameshawahi kufanya mapenzi na walimu wao na inaonekana sio issue!Jambo hili linanishangaza!Unaanzaje kumtongoza? Au yeye ndiye anajenga mazingira ya kutongozwa?
