Kumtongoza mwalimu wako.

Kumtongoza mwalimu wako.

Waliowah kufanya mapenz na walimu wao (Mostly waliotoa ushuhuda humu JF) hawakuwatongoza ila walitegwa na walim wao na the way wanavyohadithia WALIBAKWA
Nimecheka sana mpaka mbavu zinauma!!!
Waty wanabakwa na kujivunia!!! Aisee... Maisha raha sana!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hakuna kutongozana kati ya mwalimu na mwanafunzi... Chanzo na sababu kubwa ni mazoea yaliyopitiliza na ukaribu wa ki-hasara hasara, na utani unaoashiria matamanio, ndiyo hushawishi hayo yote...



Cc: mahondaw
 
hili la kufaulishwa bila sababu ndio baya zaidi kuna bint alikuwa anapata A kifaransa ilipokuja necta alupata F .watu wote walijua kuwa mwalimu alikuwa anatunga mtihani pamoja na mwanafunzi wake.
Ila mimi mwalimu alinipenda kwa sababu nilikua nafaulu sana somo lake... Ila baada ya kua nae wengi wakadhani napata upendeleo... Kumbe wala mtoto wa watu! Upendeleo nilokua napata ni kutopewa adhabu na rafiki wa boo, chakula cha bure, kuchajiwa simu ... Utoto bana!!! Ila nilimzingua yule mwalimu...
 
Ila mimi mwalimu alinipenda kwa sababu nilikua nafaulu sana somo lake... Ila baada ya kua nae wengi wakadhani napata upendeleo... Kumbe wala mtoto wa watu! Upendeleo nilokua napata ni kutopewa adhabu na rafiki wa boo, chakula cha bure, kuchajiwa simu ... Utoto bana!!! Ila nilimzingua yule mwalimu...
Hongera
 
Nimecheka sana mpaka mbavu zinauma!!!
Waty wanabakwa na kujivunia!!! Aisee... Maisha raha sana!
Yeah,kwa Wanaume ni kubakwa.
Ni nadra sana mwalim wa kike kumtongoza mwananfunZi wa kiume.Ila mwalim wa kiume anaweza kutongoza mtoto wa kike
 
Nimecheka sana mpaka mbavu zinauma!!!
Waty wanabakwa na kujivunia!!! Aisee... Maisha raha sana!
Kwa stori za jukwaa la MMU ni kweli vijana wengi wamebakwa na walim wao wa KIKE au Lecturers
 
Rais mtarajiwa wa France Mr Macron alimtongoza Mwalimu wake wamepishana miaka 25 na baadaye kuoana. Leo hii baadaye labda atakuwa 1st lady wa France.

French Election: Macron and wife Brigitte love the UK | Daily Mail Online

Katika maisha yangu ya shule niliwaheshimu mno walimu wangu.Haikuwahi kutokea haya siku moja nikawaza kumtongoza mwalimu wangu.
Ukipitia baadhi ya thread humu utagundua kuwa kuna watu ambao wameshawahi kufanya mapenzi na walimu wao na inaonekana sio issue!Jambo hili linanishangaza!Unaanzaje kumtongoza? Au yeye ndiye anajenga mazingira ya kutongozwa?
 
hili la kufaulishwa bila sababu ndio baya zaidi kuna bint alikuwa anapata A kifaransa ilipokuja necta alupata F .watu wote walijua kuwa mwalimu alikuwa anatunga mtihani pamoja na mwanafunzi wake.
Huenda aliamka vibaya siku ya mtihani.
 
wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..
 
Ila mimi mwalimu alinipenda kwa sababu nilikua nafaulu sana somo lake... Ila baada ya kua nae wengi wakadhani napata upendeleo... Kumbe wala mtoto wa watu! Upendeleo nilokua napata ni kutopewa adhabu na rafiki wa boo, chakula cha bure, kuchajiwa simu ... Utoto bana!!! Ila nilimzingua yule mwalimu...
Hakua mwako,
 
Katika maisha yangu ya shule niliwaheshimu mno walimu wangu.Haikuwahi kutokea haya siku moja nikawaza kumtongoza mwalimu wangu.
Ukipitia baadhi ya thread humu utagundua kuwa kuna watu ambao wameshawahi kufanya mapenzi na walimu wao na inaonekana sio issue!Jambo hili linanishangaza!Unaanzaje kumtongoza? Au yeye ndiye anajenga mazingira ya kutongozwa?

Unajuta nini ndugu?
 
wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..
Hukukosea angala uliondoa dukuduku lako la moyoni.
 
wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..
Cc Paprika
 
Back
Top Bottom