ndechilio shoo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 997
- 365
Mie nilidhani sababu ya msingi na nambari moja ni kuwa unampenda? Inaonekana unampenda mtoto zaidi na hili linaweza kukusababishia matatizo kama akibadilika huko mbele ya safari.
BTW, hebu jaribu kufikiria kama ungekuwa unatembea na hawara au kahaba, ungelipia kiasi gani? Hata kama ni kidogo, basi chukulia kwamba hii ni zawadi kwa mtu aliyekupenda (may be na wewe unampenda). Halafu hayo mengine na maneno ya watu achana nayo!
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.
Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.
Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.
Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.
Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.
Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!
Wanaume mmekuwa waoga na msiokuwa na muelekeo kweli sijui kwanini, why hamjiamini na mfanyayo? Kila kitu lazima mtafute oppinions za watu? Wakikuambia acha ndio wamuachisha shule?
Akiamua kukubadilikia anakubadilikia tu hata kama hajasoma/hasomi na uko nae hapo home.
Afterall ww ndio waishi nae wamfahamu zaidi yetu, so just do whts best, acha uoga, failures za wengine zisidefine maisha yako.
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule
Umenikumbusha ile habari yenu ya jana ya kutafuta approval ya marafiki. Wanaume hatukuumbwa hivyo ila nashangaa vijana wanaanza kuingia kwenye hiyo line. Men were made to act and bear the aftermath!
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.
Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.
Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.
Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.
Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.
Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.
Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.
Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.
Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.
Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.
Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.
Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.
Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.
Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.
Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.
Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!