Kumshikilia Mbowe ni ili kuwatisha Lema na Lissu wasirudi Tanzania

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,607
8,744
Watu wawili ambao wanaogopwa sana ni Lissu na Lema na siyo Mbowe.

Umri na uwezo wao wa kimtandao unaleta wasiwasi kwa wanasiasa wa CCM kiasi kwamba hawataki warudi. Kumfunga Mbowe ni njia ya kuwatisha waogope kurudi Tanzania.

Spika wa bunge na waziri mkuu ndiyo vinara wa hili. Waziri mkuu ndiye mwamini mkubwa wa mabavu lakini anajificha nyumba sio mzuri kama watu wanavyofikiri.

Waziri mkuu alishawahi kukiri kwamba Sabaya anafuata maagizo yake ya vile visa vyote na yeye ndiye alikuwa mlinzi mkubwa. Spika anaogopa kusumbuliwa na Lissu na hampendi Mbowe kabisa.

Hawa wawili ndiyo wanaotaka kuteka uendeshaji wa serikali kwa sasa na Rais Samia awe makini sana. Huu ndiyo wakati mzuri wa IGP mpya ambaye hatawaaukiliza hawa
 
Wanaona mabavu ndo njia pekee iliyobaki kuwafanya wabakie madarakani. Wananchi hawashawishiki nao.
 
Acha kupotosha watu,njaa na kupenda maisha mazuri ya dezo ndo kimekalisha huko.
Mwendazake mbona alishatwaliwa kwanini hawajarudi muda wote huo?
 
Watu wawili ambao wanaogopwa sana ni Lissu na Lema na siyo Mbowe.

Umri na uwezo wao wa kimtandao unaleta wasiwasi kwa wanasiasa wa CCM kiasi kwamba hawataki warudi. Kumfunga Mbowe ni njia ya kuwatisha waogope kurudi Tanzania.

Spika wa bunge na waziri mkuu ndiyo vinara wa hili. Waziri mkuu ndiye mwamini mkubwa wa mabavu lakini anajificha nyumba sio mzuri kama watu wanavyofikiri.

Waziri mkuu alishawahi kukiri kwamba Sabaya anafuata maagizo yake ya vile visa vyote na yeye ndiye alikuwa mlinzi mkubwa. Spika anaogopa kusumbuliwa na Lissu na hampendi Mbowe kabisa.

Hawa wawili ndiyo wanaotaka kuteka uendeshaji wa serikali kwa sasa na Rais Samia awe makini sana. Huu ndiyo wakati mzuri wa IGP mpya ambaye hatawaaukiliza hawa
Hata Mimi nimewaza hivyo,kwani dai la katiba mpya ni kaa la moto,kwa hao ndugu kijani.Ila wanayo mawili ya kuchagua,wakubali kulibeba kaa la moto kwa mikono yao,ama wajiandae kumbambika kwa kasi zaidi.
 
Watu wawili ambao wanaogopwa sana ni Lissu na Lema na siyo Mbowe.

Umri na uwezo wao wa kimtandao unaleta wasiwasi kwa wanasiasa wa CCM kiasi kwamba hawataki warudi. Kumfunga Mbowe ni njia ya kuwatisha waogope kurudi Tanzania.

Spika wa bunge na waziri mkuu ndiyo vinara wa hili. Waziri mkuu ndiye mwamini mkubwa wa mabavu lakini anajificha nyumba sio mzuri kama watu wanavyofikiri.

Waziri mkuu alishawahi kukiri kwamba Sabaya anafuata maagizo yake ya vile visa vyote na yeye ndiye alikuwa mlinzi mkubwa. Spika anaogopa kusumbuliwa na Lissu na hampendi Mbowe kabisa.

Hawa wawili ndiyo wanaotaka kuteka uendeshaji wa serikali kwa sasa na Rais Samia awe makini sana. Huu ndiyo wakati mzuri wa IGP mpya ambaye hatawaaukiliza hawa
Anguko lao linakuja, mbona ilishatokea?
 
Walalamikaji mumekurudi kule kule..

Niongezeeni popcorn..

Muhimu kutii sheria

Kazi iendelee
 
Watu wawili ambao wanaogopwa sana ni Lissu na Lema na siyo Mbowe.

Umri na uwezo wao wa kimtandao unaleta wasiwasi kwa wanasiasa wa CCM kiasi kwamba hawataki warudi. Kumfunga Mbowe ni njia ya kuwatisha waogope kurudi Tanzania.

Spika wa bunge na waziri mkuu ndiyo vinara wa hili. Waziri mkuu ndiye mwamini mkubwa wa mabavu lakini anajificha nyumba sio mzuri kama watu wanavyofikiri.

Waziri mkuu alishawahi kukiri kwamba Sabaya anafuata maagizo yake ya vile visa vyote na yeye ndiye alikuwa mlinzi mkubwa. Spika anaogopa kusumbuliwa na Lissu na hampendi Mbowe kabisa.

Hawa wawili ndiyo wanaotaka kuteka uendeshaji wa serikali kwa sasa na Rais Samia awe makini sana. Huu ndiyo wakati mzuri wa IGP mpya ambaye hatawaaukiliza hawa
Kwa Lema nakataa, yeye alikimbia madeni yake kwa kisingizio cha siasa. Hana impact yoyote kwa serikali.
 
Watu wawili ambao wanaogopwa sana ni Lissu na Lema na siyo Mbowe.

Umri na uwezo wao wa kimtandao unaleta wasiwasi kwa wanasiasa wa CCM kiasi kwamba hawataki warudi. Kumfunga Mbowe ni njia ya kuwatisha waogope kurudi Tanzania.

Spika wa bunge na waziri mkuu ndiyo vinara wa hili. Waziri mkuu ndiye mwamini mkubwa wa mabavu lakini anajificha nyumba sio mzuri kama watu wanavyofikiri.

Waziri mkuu alishawahi kukiri kwamba Sabaya anafuata maagizo yake ya vile visa vyote na yeye ndiye alikuwa mlinzi mkubwa. Spika anaogopa kusumbuliwa na Lissu na hampendi Mbowe kabisa.

Hawa wawili ndiyo wanaotaka kuteka uendeshaji wa serikali kwa sasa na Rais Samia awe makini sana. Huu ndiyo wakati mzuri wa IGP mpya ambaye hatawaaukiliza hawa
Umewaza mbali jamaa
 
Back
Top Bottom