Kumpenda mtu usiyemwamini!!!!!

Kumpenda mtu usiyemwamini!!!!!

amu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
16,143
Reaction score
31,275
Marafiki hivi inakuaje you love someone deeply but you don't trust him/her?

Hakuna tatizo kubwa au kosa kubwa lililosababisha nikose kumuamini. Saa nyingine nahisi ni wivu juu yake sasa as a result I drive him away from me na pia i can't reach the level intimacy.

Embu tuongee issue kama hii tunaihandle vipi? Najua wengi wetu inatutokea.

Kwa upande wangu mie huyo mjamaa sikai nae sana anakaa mkoa mwingine bu tunakuwa pamoja at least twice within a month.
Kaunga Nicas Mtei watu8 Smile snowhite Mtambuzi Mentor Asprin ladyfurahia Paloma Nivea King'asti The Boss Evelyn Salt KOKUTONA YNNAH arabella Mwanyasi lara 1 Filipo mwaJ Kaizer gfsonwin MwanajamiiOne

Aisee list ni ndefu sana siimalizi wana MMU kwa ujumla mawazo yenu yanahitajika kuihandle situation ya aina hiyo
 
Last edited by a moderator:
Aisee kwangu haikuji hii kitu. Akili na hisia zangu ziko connected. Siwezi nikupende at the same time sikuamini.

Kama nakupenda then I should trust and vice versa.
 
utamuamini vipi mtu? binadamu anaaminika kweli? wewe penda tu mengine achana nayo!utazeeka bure my dear
enjoy youself!ukijichunguza hata wewe mwenyewe utajikuta na kasoro...
 
Aisee kwangu haikuji hii kitu. Akili na hisia zangu ziko connected. Siwezi nikupende at the same time sikuamini.

Kama nakupenda then I should trust and vice versa.
mi simuamini mtu kiviile ila doubt zangu huwa sizifanyi ziwe ugomvi...simwamini mtu yoyote duniani humu..
 
utamuamini vipi mtu? binadamu anaaminika kweli? wewe penda tu mengine achana nayo!utazeeka bure my dear
enjoy youself!ukijichunguza hata wewe mwenyewe utajikuta na kasoro...

ha ha nimejikuta nimecheka sana thats my girl looo.
 
kumpenda mtu na kumwamini mtu ni vitu viwili tofauti kabisa, so naweza nikakupenda lakini nisikuamini kwa sababu tunatwendwa mno na tunaowaamini

kwangu mini ni bora kumpenda mtu lakini ukawa naye kimachale zaidi
 
  • Thanks
Reactions: amu

jamani kupenda we penda
ila kumuamini mtu ni kujitakia presure!!

 
  • Thanks
Reactions: amu
mi simuamini mtu kiviile ila doubt zangu huwa sizifanyi ziwe ugomvi...simwamini mtu yoyote duniani humu..

hapo ndo tofauti yangu na mie jamani mie nalivurumishaga liugomvi from nowhere but not all the time
 
hapo ndo tofauti yangu na mie jamani mie nalivurumishaga liugomvi from nowhere but not all the time
sasa hapo unaharibu...ugomvi wa nini? as long hakuonyeshi na wala hujaona assume kwamba kila kitu kipo ok lakini akili yako isome 50/50
 
utamuamini vipi mtu? binadamu anaaminika kweli? wewe penda tu mengine achana nayo!utazeeka bure my dear
enjoy youself!...

Natamani ningekuwa na ujasiri huo
 
hapo ndo tofauti yangu na mie jamani mie nalivurumishaga liugomvi from nowhere but not all the time

Hahahahah namwonea huruma huyo chalii ako asee. Na ukilivurumisha yeye anatulia au na yeye analianzisha?

Kuna tofauti kubwa kati ya kupenda na kutamani. Ukipenda utajikuta automatikale unamwanini. Ndo ile mamsemo ya mapenzi ni upofu yanapokujaga. Ila kama ni kutamani tu..... Aaaaah uaminifu tupa kule.

BTW we mwenyewe unajiamini? Isije ikawa mkuki kwa nguruwe lol

Hivi leo Jumangapi?
 
babu yeye anatulia bana gentleman vibayaaa
Hahahahah namwonea huruma huyo chalii ako asee. Na ukilivurumisha yeye anatulia au na yeye analianzisha?

Kuna tofauti kubwa kati ya kupenda na kutamani. Ukipenda utajikuta automatikale unamwanini. Ndo ile mamsemo ya mapenzi ni upofu yanapokujaga. Ila kama ni kutamani tu..... Aaaaah uaminifu tupa kule.

BTW we mwenyewe unajiamini? Isije ikawa mkuki kwa nguruwe lol

Hivi leo Jumangapi?

If I was a woman....I would be hiring a private detetcive...an ex IRS agent, and my local sheriff's dept to crawl up a potential date's ass......MEN LIE....totally and without any regret. EVERY friend I have or have had over 30 years of adulthood has cheated, lied and manipulated the best women I have ever known.
hii kuna mtu kanipm ha ha ha kanizidishaje machungu sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom