Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,576
- 12,371
Jamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za nje naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.
Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
Jibu zuri sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kwa kunichekeshaItaletwa na walio ahidi....
Hakuna ugonjwa hapo !!!Dada unatatizo la kisaikolojia ni pm nitakusaidia uondokane na tatizo hilo kitaalamu tunaita "kisununu" au "kishalalwa".
duh.....sitaki muanzishe hashtag nataka mnipe njia niondokane na hii hali
Sio Ashton Kutcher...? Maana kuna bidada mbongo naye alikuwa anamzimikia huyu jomba wa kizungu hatar.tatizo naempenda mzungu we muafrika naweza nikakuona halafu hata nisistuke
Happymsafi ni msafi pia dear!tuko wengi wewe kutamani ni lazima mfano mm ni msafi kupitiliza unakuta unakutana na jitu linavaa nguo mara mbili halijui kupanga nguo unalinunulia nguo wap zivu kama kichaka loh leo nikutane na msafi mwenzangu kwa nn mate yasinitoke!?
hahaaaaaa huyu atakuwa na yale mapenzi ya team sepetungaThe Van Vicker fever!
Mbona hajamtaja ni nani labda prezzoooooBila shaka wewe utakuwa ni Giggy Money... kama sivyo bas ni ndugu yake wa karibu sana... cha kukushauri ni kuwa chupi ikishalowa kabadilishe uvae nyingine... pili haina haja ya kuwa na mwanamme coz ukimuona van Vicker tu unafika orgasm... How lucky you are!!
Hii namba yako serious..kwa nini unaacha namba hivi huogopi
hahahahahaaaa na wewe inalowaa????????????????Yaan we acha tu, uko kama mimi ninavompenda AMADOGO!!! lakini yeye walaaa!! Hana habari na wewe.
Bora usingejibu make sijui kama mkonga utalalahahahahahaaaa na wewe inalowaa????????????????