Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
Sio kweli tunachepuka kulingana na kutokidhi vigezo kama mtafanya tunayoyataka hatuwezi ku cheat.Shogaaa hao ni asili yao tuu kucheat ata umpe tigo voda vyoteee ila bado atatoka nje tuuu
Sio kweli tunachepuka kulingana na kutokidhi vigezo kama mtafanya tunayoyataka hatuwezi ku cheat.Shogaaa hao ni asili yao tuu kucheat ata umpe tigo voda vyoteee ila bado atatoka nje tuuu
Profile yako inatisha mkuuHakuna uchawi zaidi ya kumpenda na kumheshimu tu, hio ndo dawa tosha.
Ile picha ya yule mdada mpole mpole ilikuwa inaendana na wewe sana kulingana na michango yako humu jukwaani.Ndo maana nimeitoa!
Hahahha Mkuu, yaani anataka awe Ndondocha , sijui anamtakia nini jamaa ?Duh mpk Awe boyaa tena
Majibu murua kabisaa, nakuelewa sana Arabian queenMuhim,umuheshimu,usiwe mtu wa kununa nuna,kua mda wote mcheshi,kua mbunifu kuanzia chumban,usafi,upishi,jali familia yake,yaliyobaki ni bonus
Hahahaha usimfanyie hivyo Mkuu espy.Uboya unakuhusu soon![]()
ThnxMajibu murua kabisaa, nakuelewa sana Arabian queen

hahahaha...
So vzr ivyoo jamn..Hahahha Mkuu, yaani anataka awe Ndondocha , sijui anamtakia nini jamaa ?
Hakika huyu si mtu mzuri, labda lengo lake ammalize kabisaaakuna wanawake hawana huruma sasa mtu akiwa boya kuna raha gani ya kuwa na mpenzi
me mwenyewe pia natisha.Profile yako inatisha mkuu
na atammaliza kama ameshadhamiria ndio hawa wanawalisha wanaume nyama ya takoHakika huyu si mtu mzuri, labda lengo lake ammalize kabisaaa
Oooh!Ile picha ya yule mdada mpole mpole ilikuwa inaendana na wewe sana kulingana na michango yako humu jukwaani.
Yaah.Oooh!
Mwemwe mweee hawa viumbe waone kwa nje tu!Yaani unipagawishe hadi niwe boya?? Ama watu mna roho mbaya jamani
Hhmm!si kwa domo ilome mwenyewe pia natisha.
