Kumpagawisha mwanaume

Kumpagawisha mwanaume

Daaah..!! Unataka hata kufundishwa jinsi ya kumpagawisha dume!?? Acha uvivu mtoto wa kike, kuwa mtundu..
 
Muheshimu na kumsikiliza baada ya hapo jitume kitandani usisahau ubunifu.
 
Mwanaume anataka kuheshimiwa na kusikilizwa tu hayo mengine yatafata, dharau, kejeli na majibu yasiyo na vichwa wala miguu huwa yanaaribu mahusiano na kumfanya mwanaume atafute mahali penye usalama na amani na heshima basiii...,
 
Na pia utulivu wa mume ktk mahusiano ni mtu na tabia yake,aliezoea kua player atabakia player,japo ninaamini mwanamke anauwezo wa kumbadilisha mwanaume atakavo,kama alikua player ataacha,kama alikua mlev ataacha,kuna tricks nyng za kuzifanya kumfanya mwanaume asitazame tn nje,na watu wakadhani umemroga.bali mapenzi tu na jinsi ya kucheza na hisia na akil ya mwanaume kwa kutumia maneno na vitendo
 
chukua nyama weka ukeni alafu itoe mpe mwanaume ale nakuambia ni zaidi ya limbwata
 
Unataka kutuongezea machizi mtaani!!Hizo akili ebu tusaidie jinsi kuongeza viwonder!!!
 
Back
Top Bottom