Kumpagawisha mwanaume

Kumpagawisha mwanaume

Dada limbwata unapotea. Wanaume wote tunapenda mwanamke anayekubali kuongozwa, tunataka mwanamke ambaye anakutumikia, eg akufulie nguo zote mpaka chupi, akubrashie viatu, akutandikie kitanda, yaan vyote. Na unatakiwa umsome mumeo yaan kabla hajahitaji kitu uwe umeshajua na kufanya, na ukitaka asitoke akirudi tu akukute uneoga msafi mpe chakula ale, fanya yako yote hakikisha unamtega vya kutosha kwa kuvaa kichangudoa ili asitamani kuona vya nje. Pia jipendekezeeeeeee mama sioa unanuna. Hatupendi wanawake waongeaji na wenye wivu
 
Ayo mawazo yakumfanya awe boya ndo yanawafanya mnaenda kwa waganga alafu yanakuja kuwatokea puani.Kuna mama mmoja alimshika mumewe kisawasawa badae ndugu za mume wakamtibu mzee alipopona akamfurusha yule mwanamke sasa hiv anajuta yuko mtaani wakat mumewe kavuta kitu nyingine.Kwakifupi mapenz hayana kanuni na kila wanaume ana udhaifu wake mzuri.kwaiyo wewe chunguza udhaifu mzur wa mwanaume wako ndo uufanyie kazi.Ila iyo bado sio sababu yakumfanya asigonge nje maana mambo mengine ni nature.
 
Yeah hapo kwenye kununa nuna mimi binafsi huwa nachukia mwanamke wa hivyo.
Kila mwanaume anapenda mwanamke mcheshi ,bashasha mda wote ktk sura.

Hata siku mwanamke akitokea kununa basi lazma mwanaume ashangae na atajigundua kwel kafanya kosa.

Kuliko kila siku kununa,mwisho mume anakuzoea hahaha anaona normal ukinuna ,usinune zotw anaona pouwar tu
 
Shogaangu wanaume hawaridhiki huna la kuwafanya utajiumiza bure bora waache tu,
Ushauri mzuri sana huu...

Sisi huwa tunaachwa tu msitupangie pa kugegeda, maana hata madushe hamkutugea nyinyi...

Alaaa
 
Unawezaje kumfanya mwanaume apagawe kitandani? Kwa wale wazoefu. Ili ashindwe hata kucheat yani awe kama boya wako....
Nitembelee pm ntakupa mbinu zoote, tena atakuwa sawa na msukule wako
 
Kila mwanaume anapenda mwanamke mcheshi ,bashasha mda wote ktk sura.

Hata siku mwanamke akitokea kununa basi lazma mwanaume ashangae na atajigundua kwel kafanya kosa.

Kuliko kila siku kununa,mwisho mume anakuzoea hahaha anaona normal ukinuna ,usinune zotw anaona pouwar tu
Kabisa yaani....

Msalimie huyo mwenye bahati zake b'n
 
Wakati mnapiga mzigo akikisha anapokaribia kutupa wazungu chukua ulimi wako zungusha zungusha kwenye tundu la sikio anaweza piga kelele anaweza kuhisi yupo peponi raha yake yaani kila utakacho omba lazima akupe na ukimwita lazima aje mbio anajua utamu unamuita
 
Back
Top Bottom