Kumpagawisha mwanaume

Kumpagawisha mwanaume

Ndio maana mahusiano huwa hayadumu,Akili ulizonazo hakuna mwanamke yeyote anaweza kufanikiwa duniani! Utafanikiwa kwa muda mfupi baadae unakuwa boya mwenyewe....Ndio ndoto za wanawake wengi wa sasa,SO SAD!
 
Unawezaje kumfanya mwanaume apagawe kitandani? Kwa wale wazoefu. Ili ashindwe hata kucheat yani awe kama boya wako....
Mpe mapenzi motomoto

Usiwe unaomba omba sana hela

Usiwe na wivu wa kijinga

Uwe mtiifu usiwe mtu wa kubisha bisha hovyo

Ujue kupika

Uwe msafi

Upende ndugu zake na kuwaheshimu

Uwe na roho nzuri

Uwe na mawazo ya kimaendeleo

Usiwe mzurulaji

Usiwe mtu wa kumuachia beki tatu amuandalie mume wako chakula na nguo za kuvaa.

Jitahidi ufanye haya ndio mambo wanaume tunayoyaangalia zaidi kwa wake zetu ukifeli kidogo tu tunachepuka.
 
Back
Top Bottom