Kumlinganisha Odinga na Lowassa si sawa, Naweka kumbukumbu sahihi

Kumlinganisha Odinga na Lowassa si sawa, Naweka kumbukumbu sahihi

Ukiisoma vema utaelewa kuwa sikumtendea haki RAO kumlinganisha na mtu aliyefukuzwa kazi kwa udokozi.
IF THERE IS AVAILABILITY OF MAKING A DEAL....MAKE IT....LOWASSA KAITUMIA CHANC VIZURIII
 
Rejea ufafanuzi wa mleta mada utaelewa maana yangu, mimi nasema tunahitaji kuweka vigezo vya kufanana, kuhusu nini hasa maana tukiingiza mihemuko ya kiitikadi tunakosea sana!
Ha ha kijana vipi?nimetofautisha na hiyo ndio hoja yangu wewe leta hoja ya kufananisha tuchangie.Karibu tena.
 
Mnajuaga kusifu msiowajua na kuponda mnaowajua (wakwenu) ndomaana kunawanaoolewa ulaya baadae vinawashinda. Ukimfananisha lowassa usitaje vyeo eleza uwezo mf. Kupigana uganda,kupigania maji ziwa victoria,kupigania shule za kata,kujijenga kiuchumi bila kesi ya rushwa mahakama yoyote,kusisitiza utendaji mpaka maadui kumtengenezea kashfa,kuvumilia na kujiuzulu kwa kuzushiwa,kumtetemesha mtuk...mpaka kumzuia asifanye siasa,kuwaimbisha wanaccm kuwa wanaimani nae,kuvumilia kurazake kunanihiwa...nk. Sasa leta sifa za huyo ojnga ukianza na maandamano na matus
 
Mnajuaga kusifu msiowajua na kuponda mnaowajua (wakwenu) ndomaana kunawanaoolewa ulaya baadae vinawashinda. Ukimfananisha lowassa usitaje vyeo eleza uwezo mf. Kupigana uganda,kupigania maji ziwa victoria,kupigania shule za kata,kujijenga kiuchumi bila kesi ya rushwa mahakama yoyote,kusisitiza utendaji mpaka maadui kumtengenezea kashfa,kuvumilia na kujiuzulu kwa kuzushiwa,kumtetemesha mtuk...mpaka kumzuia asifanye siasa,kuwaimbisha wanaccm kuwa wanaimani nae,kuvumilia kurazake kunanihiwa...nk. Sasa leta sifa za huyo ojnga ukianza na maandamano na matus
Safi umendika sifa zake mimi nilijikita katika kutofautisha.Pole kwa maumivu yaliyokupata.
 
Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.
Naona una mgongano wa maslahi hapa-mahaba yako kwa watu fulani yamekufanya upindishe ukweli hapa na pale. Unaweka upotoshaji wako na wewe mtandaoni.
 
Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.

Raila Odinga ni mtoto wa mwanasiasa,mfanyabiashara na makamu wa kwanza wa Raisi Kenya Mzee Jaramongi Odinga wakati Edward Lowassa ni mtoto wa tarishi wa mahakama ya serikali ya kikoloni na baadaye Tanganyika kabla ya kustaafi mwaka 1975 aliyehamia Monduli toka Usariva,hakuwahi kuwa mfugaji.

Raila Odinga ni mwanasiasa wa upinzani kwani baada ya Kenya kuanzisha vyama vingi alijiondoa Kanu ambapo mwaka 1992 Babake aligombea uraisi huku yeye akishinda ubunge huko Siaya kwa tiketi ya upinzani.Edward Lowassa hajawahi kuwa mpinzani kwani alibaki CCM na amekuwa mbunge wa CCM na hataweza kushika nafasi yoyote ya kisiasa nje ya CCM.Alijiunga na upinzani kugombea uraisi tu,ni kama mchezaji wa ndondo.

Raila Odinga ni mwanasiasa mwenye hoja wakati Lowassa ni mwanamaigizo mwenye kutegemea mazingaombwe,unabii,ramli ili kuonyesha jamii anaushawishi,hutegemea pete na muelekeo wa nyota kama mvuto.

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FPA).

Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstafu wa Kenya aliyetumikia nchi miaka mitano bila kashfa na kumaliza kwa heshima huku Lowassa ni waziri mkuu aliyekimbia kufukuzwa kazi na wabunge kwa wizi wa mchana.

Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.
Watanzania wanataka mabadiliko ndani au nje na CCM... Lowasa ata angekuwa ni nani maadam angeleta kile watu wanataka anakubalika. Iyo unasema ni privancy status

Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.

Raila Odinga ni mtoto wa mwanasiasa,mfanyabiashara na makamu wa kwanza wa Raisi Kenya Mzee Jaramongi Odinga wakati Edward Lowassa ni mtoto wa tarishi wa mahakama ya serikali ya kikoloni na baadaye Tanganyika kabla ya kustaafi mwaka 1975 aliyehamia Monduli toka Usariva,hakuwahi kuwa mfugaji.

Raila Odinga ni mwanasiasa wa upinzani kwani baada ya Kenya kuanzisha vyama vingi alijiondoa Kanu ambapo mwaka 1992 Babake aligombea uraisi huku yeye akishinda ubunge huko Siaya kwa tiketi ya upinzani.Edward Lowassa hajawahi kuwa mpinzani kwani alibaki CCM na amekuwa mbunge wa CCM na hataweza kushika nafasi yoyote ya kisiasa nje ya CCM.Alijiunga na upinzani kugombea uraisi tu,ni kama mchezaji wa ndondo.

Raila Odinga ni mwanasiasa mwenye hoja wakati Lowassa ni mwanamaigizo mwenye kutegemea mazingaombwe,unabii,ramli ili kuonyesha jamii anaushawishi,hutegemea pete na muelekeo wa nyota kama mvuto.

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FPA).

Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstafu wa Kenya aliyetumikia nchi miaka mitano bila kashfa na kumaliza kwa heshima huku Lowassa ni waziri mkuu aliyekimbia kufukuzwa kazi na wabunge kwa wizi wa mchana.

Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.
 
Tofauti nyingine ni hii hapa; Raila Odinga hajawahi kugombea urais akaporwa kura na mpinzani wake wakati Edward Lowasa aligombea urais 2015 na kuporwa kura na mpinzani wake mkuu.
 
Tofauti nyingine ni hii hapa; Raila Odinga hajawahi kugombea urais akaporwa kura na mpinzani wake wakati Edward Lowasa aligombea urais 2015 na kuporwa kura na mpinzani wake mkuu.
Haya,sidhani kama Lowassa anaweza hata kushinda uraisi na Dc.Happi.
 
Watanzania wanataka mabadiliko ndani au nje na CCM... Lowasa ata angekuwa ni nani maadam angeleta kile watu wanataka anakubalika. Iyo unasema ni privancy status
Kijana Lowassa hajawahi kuwa na mabadiliko.
 
Back
Top Bottom