Kumlinganisha Odinga na Lowassa si sawa, Naweka kumbukumbu sahihi

Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.

Raila Odinga ni mtoto wa mwanasiasa,mfanyabiashara na makamu wa kwanza wa Raisi Kenya Mzee Jaramongi Odinga wakati Edward Lowassa ni mtoto wa tarishi wa mahakama ya serikali ya kikoloni na baadaye Tanganyika kabla ya kustaafi mwaka 1975 aliyehamia Monduli toka Usariva,hakuwahi kuwa mfugaji.

Raila Odinga ni mwanasiasa wa upinzani kwani baada ya Kenya kuanzisha vyama vingi alijiondoa Kanu ambapo mwaka 1992 Babake aligombea uraisi huku yeye akishinda ubunge huko Siaya kwa tiketi ya upinzani.Edward Lowassa hajawahi kuwa mpinzani kwani alibaki CCM na amekuwa mbunge wa CCM na hataweza kushika nafasi yoyote ya kisiasa nje ya CCM.Alijiunga na upinzani kugombea uraisi tu,ni kama mchezaji wa ndondo.

Raila Odinga ni mwanasiasa mwenye hoja wakati Lowassa ni mwanamaigizo mwenye kutegemea mazingaombwe,unabii,ramli ili kuonyesha jamii anaushawishi,hutegemea pete na muelekeo wa nyota kama mvuto.

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FPA).

Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstafu wa Kenya aliyetumikia nchi miaka mitano bila kashfa na kumaliza kwa heshima huku Lowassa ni waziri mkuu aliyekimbia kufukuzwa kazi na wabunge kwa wizi wa mchana.

Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.
Mkuu wewe ni mzalendo.
 
Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.

Raila Odinga ni mtoto wa mwanasiasa,mfanyabiashara na makamu wa kwanza wa Raisi Kenya Mzee Jaramongi Odinga wakati Edward Lowassa ni mtoto wa tarishi wa mahakama ya serikali ya kikoloni na baadaye Tanganyika kabla ya kustaafi mwaka 1975 aliyehamia Monduli toka Usariva,hakuwahi kuwa mfugaji.

Raila Odinga ni mwanasiasa wa upinzani kwani baada ya Kenya kuanzisha vyama vingi alijiondoa Kanu ambapo mwaka 1992 Babake aligombea uraisi huku yeye akishinda ubunge huko Siaya kwa tiketi ya upinzani.Edward Lowassa hajawahi kuwa mpinzani kwani alibaki CCM na amekuwa mbunge wa CCM na hataweza kushika nafasi yoyote ya kisiasa nje ya CCM.Alijiunga na upinzani kugombea uraisi tu,ni kama mchezaji wa ndondo.

Raila Odinga ni mwanasiasa mwenye hoja wakati Lowassa ni mwanamaigizo mwenye kutegemea mazingaombwe,unabii,ramli ili kuonyesha jamii anaushawishi,hutegemea pete na muelekeo wa nyota kama mvuto.

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FPA).

Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstafu wa Kenya aliyetumikia nchi miaka mitano bila kashfa na kumaliza kwa heshima huku Lowassa ni waziri mkuu aliyekimbia kufukuzwa kazi na wabunge kwa wizi wa mchana.

Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.
Mkuu unatotokea monduli halafu mtu mzima bila shaka. Kwa taarifa hua tunamstahi mwenzetu..wewe vipi?
 
Mwulize mleta uzi. Atakuwa na maelezo.
Kashfa zipi ambazo serikali imeshindwa kumfikisha mahakamani!
Nitajie kiongozi katika serikali ya Magufuli aliye msafi asiye na kashfa.
Ya Magufuli siyajui. Nazungumzia jinsi viongozi wa kambi ya upinzani walivyokuwa wakimu attach Lowasa kwamba ni fisadi asiyesafishika.Umeona hata clip ya Lema. na ushahidi walikuwa nao. Nini kimetokea leo hii. Unaweza kutueleza
 
Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.

Raila Odinga ni mtoto wa mwanasiasa,mfanyabiashara na makamu wa kwanza wa Raisi Kenya Mzee Jaramongi Odinga wakati Edward Lowassa ni mtoto wa tarishi wa mahakama ya serikali ya kikoloni na baadaye Tanganyika kabla ya kustaafi mwaka 1975 aliyehamia Monduli toka Usariva,hakuwahi kuwa mfugaji.

Raila Odinga ni mwanasiasa wa upinzani kwani baada ya Kenya kuanzisha vyama vingi alijiondoa Kanu ambapo mwaka 1992 Babake aligombea uraisi huku yeye akishinda ubunge huko Siaya kwa tiketi ya upinzani.Edward Lowassa hajawahi kuwa mpinzani kwani alibaki CCM na amekuwa mbunge wa CCM na hataweza kushika nafasi yoyote ya kisiasa nje ya CCM.Alijiunga na upinzani kugombea uraisi tu,ni kama mchezaji wa ndondo.

Raila Odinga ni mwanasiasa mwenye hoja wakati Lowassa ni mwanamaigizo mwenye kutegemea mazingaombwe,unabii,ramli ili kuonyesha jamii anaushawishi,hutegemea pete na muelekeo wa nyota kama mvuto.

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FPA).

Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstafu wa Kenya aliyetumikia nchi miaka mitano bila kashfa na kumaliza kwa heshima huku Lowassa ni waziri mkuu aliyekimbia kufukuzwa kazi na wabunge kwa wizi wa mchana.

Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.


Kumbe ni kweli ninachokiamini siku zote kwamba Lowasa siyo Mmasai kama anavyodanganya watu, kwa maana nilikuwa nashangaa mbona lafudhi yake ya KLM/Meru?
Kweli Lowasa anafaa kuitwa tapeli wa Kimataifa, Duh!
 
Ya Magufuli siyajui. Nazungumzia jinsi viongozi wa kambi ya upinzani walivyokuwa wakimu attach Lowasa kwamba ni fisadi asiyesafishika.Umeona hata clip ya Lema. na ushahidi walikuwa nao. Nini kimetokea leo hii. Unaweza kutueleza
Unayajua. Useme kuwa baada ya wapinzani kusema Lowasa ukawa umekufa na baada ya kuzinduka kutoka mauti ndiyo ukaleta uzi huu.
 
Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.

Raila Odinga ni mtoto wa mwanasiasa,mfanyabiashara na makamu wa kwanza wa Raisi Kenya Mzee Jaramongi Odinga wakati Edward Lowassa ni mtoto wa tarishi wa mahakama ya serikali ya kikoloni na baadaye Tanganyika kabla ya kustaafi mwaka 1975 aliyehamia Monduli toka Usariva,hakuwahi kuwa mfugaji.

Raila Odinga ni mwanasiasa wa upinzani kwani baada ya Kenya kuanzisha vyama vingi alijiondoa Kanu ambapo mwaka 1992 Babake aligombea uraisi huku yeye akishinda ubunge huko Siaya kwa tiketi ya upinzani.Edward Lowassa hajawahi kuwa mpinzani kwani alibaki CCM na amekuwa mbunge wa CCM na hataweza kushika nafasi yoyote ya kisiasa nje ya CCM.Alijiunga na upinzani kugombea uraisi tu,ni kama mchezaji wa ndondo.

Raila Odinga ni mwanasiasa mwenye hoja wakati Lowassa ni mwanamaigizo mwenye kutegemea mazingaombwe,unabii,ramli ili kuonyesha jamii anaushawishi,hutegemea pete na muelekeo wa nyota kama mvuto.

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FPA).

Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstafu wa Kenya aliyetumikia nchi miaka mitano bila kashfa na kumaliza kwa heshima huku Lowassa ni waziri mkuu aliyekimbia kufukuzwa kazi na wabunge kwa wizi wa mchana.

Haya ni machache yanayowatofautisha Odinga na Lowassa ambayo kimsingi yanaweka msingi wenye lengo la kuondoa upotoshaji uliowekwa mitandaoni.
Mbona unasahau Lowasa ana masters from U.K.
 
Mzee Lowasa pia ana masters from U.K. Usisahau sasa kama unasema ana degree ya kuigiza aliendaje kusoma masters U.K.?
 
moja kati ya vitu ninavyovijutia mwaka ule ni kumpa kura yangu Lowassa.

Yalikuwa maamuzi ya hasira na kukurupuka.
 
Kumekuwa na upotoshwaji wa baadhi ya watu kumlinganisha Lowassa na Odinga ambaye ni mwanasiasa mwandamizi nchini Kenya.............................................................

Kielimu Raila ni Mhandisi aliyepata shahada yake huko Ujerumani Lowassa anamiliki shahada ya sanaa za maigizo aliyopata UDSM kitengo cha "Fine and Performing Art" (FP)
.
Samahani, nikusahihishe ili nawe usiwe mpotoshaji. Hiyo digrii ya Fine and Performing Art (sic) haikuwepo mwaka 1974-77 Lowassa aliposoma digrii. Na kwa kuwa alisoma Education asingesomea FPA pekee, bali na kitu kingine kwa utaratibu wa major-minor. Digrii aliyopata Lowassa inaitwa Bachelor of Arts, ambayo pia walipata watu wengine waliosomea sayansi za jamii wakati huo, kama wachumi, wa sayansi za utawala, wanajiografia, wasosiogia, n.k. Kwa ujulisho, mchepuko mmojwapo wa masomo ya Lowassa unaoudhania ulikuwa na majina ya theatre arts. Mengi katika masomo hayo yanahusu ukuzaji wa vipaji vya kutenda na kusema mbele ya kadamnasi, ikiwa ni pamoja na uwasilishaji wa mada, uandaaji wa vipindi, utangazaji ktk runinga na uigizaji wa filamu - fani zinazoheshimika na kulipwa vizuri sana ktk ulimwengu wa kisasa. Pia, mapema kabisa, Lowassa alisoma na kutunukiwa digrii ya umahiri ya uchumi-maendeleo huko Bath, Uingereza.
 
Samahani, nikusahihishe ili nawe usiwe mpotoshaji. Hiyo digrii ya Fine and Performing Art (sic) haikuwepo mwaka 1974-77 Lowassa aliposoma digrii. Na kwa kuwa alisoma Education asingesomea FPA pekee, bali na kitu kingine kwa utaratibu wa major-minor. Digrii aliyopata Lowassa inaitwa Bachelor of Arts, ambayo pia walipata watu wengine waliosomea sayansi za jamii wakati huo, kama wachumi, wa sayansi za utawala, wanajiografia, wasosiogia, n.k. Kwa ujulisho, mchepuko mmojwapo wa masomo ya Lowassa unaoudhania ulikuwa na majina ya theatre arts. Mengi katika masomo hayo yanahusu ukuzaji wa vipaji vya kutenda na kusema mbele ya kadamnasi, ikiwa ni pamoja na uwasilishaji wa mada, uandaaji wa vipindi, utangazaji ktk runinga na uigizaji wa filamu - fani zinazoheshimika na kulipwa vizuri sana ktk ulimwengu wa kisasa. Pia, mapema kabisa, Lowassa alisoma na kutunukiwa digrii ya umahiri ya uchumi-maendeleo huko Bath, Uingereza.
Mkuu ahsante kwa kuondoa upotoshaji wa mtoa mada juu ya elimu ya Mh lowassa
 
Back
Top Bottom