Kumkagua mpenzi wako.. Imekaaje?

Kumkagua mpenzi wako.. Imekaaje?

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
6,551
Reaction score
20,260
Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' haya ni mapenzi..? Wivu uliopitiliza..? Kukosa uaminifu..? Nini?
 
Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' haya ni mapenzi..? Wivu uliopitiliza..? Kukosa uaminifu..? Nini?

kwa nini usikakuguliwe kama una chembe ya umalaya nampa pongezi sana kwa kufanya hivyo siyo wivu ni haki yake samekuoa na amekununua kwa hela au ng'ombe au labda mulioana kwa bure
 
Nadhani hiyo ni digree kubwa zaidi ya ujinga na udhalilishaji unaoweza kuufanya kwa umpendaye kwa siri! Wakati mwingine uaminifu ni mbegu inayoota kama ukijua namna ya kuiotesha na kuitunza. Otherwise ukipanda mashaka na kutokuamini utavuna yote yanayoambatana na mashaka mashaka.
 
kwa nini usikakuguliwe kama una chembe ya umalaya nampa pongezi sana kwa kufanya hivyo siyo wivu ni haki yake samekuoa na amekununua kwa hela au ng'ombe au labda mulioana kwa bure

Sasa huyo unayempa pongezi sana..siku akikagua akagundua kuwa huyo mpenziwe 'kaliwa' atafanyaje? Kama atamuacha si bora amuache tu tangu sasa..si hamuamini! Kama hatamuacha basi aache kumdhalilisha dada wa watu. Huyo dada naye punguhani, yaani kila ukirudi safari um'manulie huyo zumbukuku akukague...utumwa huo!
 
Huu ni ulimbukeni wa hali ya juu! kama unampenda mtu kwa dhati bila shaka utamuamini na kumthamini kwa vyovyote! Palipo na upendo na imani ni ngumu kusalitiana.
 
Huu ni ulimbukeni wa hali
ya juu! kama unampenda mtu kwa dhati bila shaka utamuamini na kumthamini
kwa vyovyote! Palipo na upendo na imani ni ngumu kusalitiana.

Wamekutana vilaza wawili hapo!
Huyo mkaguzi hajielewi na anayekaguliwa hajitambui!!
Kudhalilishana tu.
 
Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' haya ni mapenzi..? Wivu uliopitiliza..? Kukosa uaminifu..? Nini?

Kwanza pole.
Kama huyo ni mpenzi na si mume mkimbie fasta na umuogope kama ukoma; HAKUFAI. Huyo ana kichaa cha mapenzi atakuumiza na ni hatari kwa maisha yako.
 
Hayo yapo wakuu na yanafanyika sana,ila ukihisi katoka kuliwa akifika home na wewe muombe hapohapo atakataa lazimisha cha moto atakiona utajua maana itakua mtepeto
 
Machizi wawili wamekutana. Na yeye mwanaume akirudi anamkagua ama?
 
Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' haya ni mapenzi..? Wivu uliopitiliza..? Kukosa uaminifu..? Nini?

Mwambie aache kukuonea mwaya. Nisisikie tena malalamiko kama haya.
 
duh hili nalo ni toleo jipya,kila siku natundika mguu juu kwa ukaguzi hahahahahaha amekuonamo aiseh,mwanaume anapokua hajiamini na kutokumuamini mpenzi/mke wake ni hatari sana badala ya kujenga anakuta anabomoa zaidi kazi kwenu wakaguzi na wakaguliwa,huo ujinga amekupata kweliiiiiiii
 
Back
Top Bottom