Kumkagua mpenzi wako.. Imekaaje?

Kumkagua mpenzi wako.. Imekaaje?

Sasa huyo unayempa pongezi sana..siku akikagua akagundua kuwa huyo mpenziwe 'kaliwa' atafanyaje? Kama atamuacha si bora amuache tu tangu sasa..si hamuamini! Kama hatamuacha basi aache kumdhalilisha dada wa watu. Huyo dada naye punguhani, yaani kila ukirudi safari um'manulie huyo zumbukuku akukague...utumwa huo!

Anampa pongezi kwa sababu Kuachwa haachwi na chamoto atakiona............................!
Anakula kichapo tu...........................!
Ila dah jamaa jasiri kwa hiyo anapekenyua na kumulika kwa tochi lipapuchi duh teh teh teh........................!
Anafaa kuwa mkunga huyo jamaa...........................!:rockon:
 
Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' haya ni mapenzi..? Wivu uliopitiliza..? Kukosa uaminifu..? Nini?
Iwapo kwenye mahusiano mmeshindwa kuaminiana kiasi hicho ni bora kuachana kila mtu akajua lake. Hata hivyo siamini kama kweli hili linafanyika popote duniani.
 
Nampa pole sana huyu jamaa kwa kuwa na wivu wa 1947s kwani hiyo kitu haina shombo bwana after been used kwa hiyo kitu cha umuhimu kwake ni kujenga uaminifu kati yao tu , kwani mtu anaweza kutumika na wewe ukapiga tochi zako usione chochote kama katumika, Cheza bin-adam wewe
 
hivi ukichungulia utajuaje kuwa kaliwa?
 
Ama kweli Ukisitaajabu ya musa yatakukuta ya firaun hili jamaa haliishi hapo tu hata vipande vya nyama chunguni lahesabu na kuweka misumali, huu siyo wivu ni uroho na uzalilishaji .
 
Haiwezekani bana, unataka kuniambia kuna kitu kama hicho!!?
 
Swali zuri sana ikitokea ikaanza home leo nina hakika wanawake watapata hata nguvu za kuwakatalia waume zao kufanya udhalilishaji wa namna hiyo kwa kujua kuwa kuna sheria inawalinda,kwani kwa sasa inakuwa ngumu kwa akina mama wengi kutokubaliana na swala hilo kwani hawajui watashtaki kwa madai na sheria ipi.Nina wanawake walio wengi hawafurahishwi na ufirauni huo.
Sister vipi kama sheria ikaanza home leo, ungefanyaje?
 
Thats the most disgusting thing somebody could ever think! How can you think about SUCH A THING in the first place! Ooorrrh!! It makes me wanna puke!
 
Si ndo hapo sasa dogo!yaani ukisikia ukubwa jalala ndo huu sasa, topic za huku zinatuumizaga kichwa basi tu,kwani we huwa humuamini mimisa au?
ah ah! Kaka na mada zenu za huku bana... kwanini uishi kwa wasiwasi na kutomuamini mpenzi wako?
 
Last edited by a moderator:
Tuna aminiana sana na wala hatuishi maisha ya kutiliana shaka sie, yani maisha yetu ni full upendo, amani na furaha
Si ndo hapo sasa dogo!yaani ukisikia ukubwa jalala ndo huu sasa, topic za huku zinatuumizaga kichwa basi tu,kwani we huwa humuamini mimisa au?
 
Last edited by a moderator:
ivi haya yanatokea?..na kama yanatokea bs ni udhalilishaji wa hali ya juu sn
Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' haya ni mapenzi..? Wivu uliopitiliza..? Kukosa uaminifu..? Nini?
 
Vizuri sana dogo na muendelee hivyo hivyo,mwambie mimisa nimemmiss sana na namsabahi sana tu.
Tuna aminiana sana na wala hatuishi maisha ya kutiliana shaka sie, yani maisha yetu ni full upendo, amani na furaha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom