nafanya asubuhi....mpaka jioni nitakuwa nimeshapoa.......ma**na zake huyo anayenikagua.........
badala ya kuuliza leo tumeingiza sh ngapi wao wanakimbilia kukaguana nyuchi! ndo maana nchi ni maskiniMachizi wawili wamekutana. Na yeye mwanaume akirudi anamkagua ama?
aah wapi, akimaliza akaoga fresh akirudi home iko safi kabisa.., labda kama wanafanyia vichakani akimaliza hakuna kuoga!Hayo yapo wakuu na yanafanyika sana,ila ukihisi katoka kuliwa akifika home na wewe muombe hapohapo atakataa lazimisha cha moto atakiona utajua maana itakua mtepeto
Mhhhh huo ni udhalilishaji uliopitiliza!!!!!!walaaniwe wanaume wanofanya hivyo na ikiwezekana sheria ya udhalilishaji itungwe ili kukomesha utumwa huo wa ndani ya ndoa.
nafanya asubuhi....mpaka jioni nitakuwa nimeshapoa.......ma**na zake huyo anayenikagua.........
Interesting! Hivi huwa anaangalia nini hasa ili kubaini kama "wasela" wameshapitia?Wadau, hii tabia ya mwanaume kumkagua mpenzi wake kunako nyeti ili kujua kama siku hiyo ame-cheat imekaaje? Yaani kila akirudi kutoka kazini mwendo ni 'haya..panda mezani.. Lete tochi..ehee.. Nyanyua kidogo..ewaa!' ......