Kumfuma mke akichat na mwanaume mwingine

Kumfuma mke akichat na mwanaume mwingine

Habari jamani humu ndani..hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha...hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya...mwisho wa ck unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena...sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo??....ushauri tafadhali.
ulipomuuliza kuhusu hio conversation na huyo x wake anasemaje?
 
Una uhakika kama ni kweli wanauhusiano? Pia je ni mvalisha petebau la. Kama umejiridhisha mrudishe kwanza kwao tupime kina cha maji. Kikiwa kirefu mpe talaka aende zake kwa wenye dhakari kubwa ma ndefu na wanaojua kuvaa pete.
 
Ndoa ngumu sana siku hizi...watu wanachukulia mambo kirahisi rahisi tu... kama bado anampenda ex wake kwa nini alikubali kuolewa... inaudhi sana na kutia hasira... mwanamke akitulia mwanaume kicheche... mwanaume akitulia mwanamke kicheche...
 
Habari jamani humu ndani..hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha...hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya...mwisho wa ck unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena...sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo??....ushauri tafadhali.
Na wewe muanzishie kisirani halafu anza kuchat na demu wako wa zamani, ngoma droo.
 
Kiukweli hili suala halihitaji ushauri kwa upande mmoja ila unahitaji kumpata mtu mwenye hekima apate story pande zote mbili na kukushaurini nini cha kufanya. Inawezekana na yeye kuna kitu kinamuuzi lakini yeye kakiweka moyoni, lakini wewe umeshindwa kuvumilia na kuomba ushauri hapa mtandaoni.
 
nadhani hapa shida ni kutokuridhika kwa hawa wake zetu wanatamani wapate vitu vyote kwa wakati mmjo hawajui kuvumilia mkuu mpe muda akapumzike kwao ili atafakari kile anachokifanya akijua kuna kosa akuombe msamaha kwa maandishi na kuwashirikisha ndugu lakini akijua hajafanya kosa basi abaki kwao aendelee na maisha yake
 
Ndio tunasema huo Ubwege piga chini huyo mtu, hakuna haja ya kuja hapa kutafuta ushauri Mwanaume lijari unatafuta ushauri wa nini wakati ushahidi wote unao.
 
Habari jamani humu ndani..hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha...hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya...mwisho wa ck unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena...sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo??....ushauri tafadhali.
Mkuu piga chini huyo. Hata nipo kwenye situation hiyo hiyo ingawa mm nilifanya kosa kubwa mwanzon. Nilimfuma mara mbili na msg za mapenzi nikamsamehe kilichofuata alishika mimba katika mazingira ya kutatanisha na hata mtoto alipozaliwa alikuwa na dalili zote kuwa sio wangu. Nilijuta kumsamehe mara ya kwanza. Imebidi kumpiga chini akiwa na mtoto. Inauma sana mkuu. Ukimsamehe utakuja kujuta. Utakuja kutamani usingezaliwa.

Kazi kwako Mkuu. Kusuka au kunyoa. Usije jua tu baadae
 
Huo sitoagi ushauri kwa mambo ya mapenzi hata kama naamini ushauri wangu ni mzuri maana tatizo la"majitu"yanayopendana huwa hayafuati ushauri..utalishauri vzr halafu likikutana na lipenzi lake linabadilika.kwa hiyo wakuu tusipoteze muda kuyashauri haya "majitu" ya hivi
 
utapata pressure,hakuna mke hapo!mapenzi ni kuaminiana kama tayari umeshaona anarudi reverse kwa hata wewe utakuwa unatumia muda mwingi kuwaza anafanya nini muda ambao wewe hauponae.
Pia ukisafiri utajua anafumuliwa tu na akiwa mzito ea kupokea simu ndiyo kabisa,unaweza kuathiri shughuli zako,ukaharibu kesho yako,TIMUA MARA MOJA.
 
Back
Top Bottom