Mzee wa fitna
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 341
- 189
Tumia fumanizi hilo awe mpole na akae sawa
Kama ulifanya mapinduzi tarajia kupinduliwaHabari jamani humu ndani..hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha...hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya...mwisho wa ck unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena...sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo??....ushauri tafadhali.
Kijana fikiria kuhusu hyo 49% kwanzaHayo mambo yapo kwenye miji mingi sana. Kumbuka Ile 49 percent ya utafiti wa watoto wa nje ya ndoa. Ni kerekebishana na kuvumiliana ndio mtafika.
Kijana fikiria kuhusu hyo 49% kwanza
Adi m2 aende kupima DNA ni kuwa kuhisi mtoto c wake
No kwa sasa ckumuuliza ila nimeshot hizo chats kama ushahid but before nilishawahi muuliza akaniambia ni mtu ambaye alikuwaga anamtaka ila yeye hakukubali ndo huwa anamsumbua....baada ya kuandika kisa hiki nikaona text zingine kutoka kwa mama yake zimionesha akisema hapendwi mtu inapendwa pochi....na mama yake ni single mother nae ni mtu wa totoz kwa sana na ndo mshauri wake wa mambo yaoulipomuuliza kuhusu hio conversation na huyo x wake anasemaje?
Yah ni kweli na huyu mwanamke alishakuwa na mahusiano na wengi tu ila walishaoa ....kuhusu hilo la pete cna hakikaUna uhakika kama ni kweli wanauhusiano? Pia je ni mvalisha petebau la. Kama umejiridhisha mrudishe kwanza kwao tupime kina cha maji. Kikiwa kirefu mpe talaka aende zake kwa wenye dhakari kubwa ma ndefu na wanaojua kuvaa pete.
Dah yani ndo hapo mtu unapojiuliza mkuu.....ila nimegundua alikuwa anajaribu na anaangalia kwenye pesa coz mi kwa muonekano naonekana na hela kumbe muonekano tuNdoa ngumu sana siku hizi...watu wanachukulia mambo kirahisi rahisi tu... kama bado anampenda ex wake kwa nini alikubali kuolewa... inaudhi sana na kutia hasira... mwanamke akitulia mwanaume kicheche... mwanaume akitulia mwanamke kicheche...
Yaaani wewe umenigusa kuliko maelezo. Na hili ndio tatizo kubwa, washauri kusikiliza upande mmoja na kutoa ushauri ili hali hawajui ya upande wa pili. Hapo ndio ukute mawifi na mama mkwe kama mie, anaapia na kuapia kuwa ukiendelea nae huyo nakulaani! There is no excuse to cheating lakini mara chache sana mtu ataamka tu na kumkumbuka x-wakeKiukweli hili suala halihitaji ushauri kwa upande mmoja ila unahitaji kumpata mtu mwenye hekima apate story pande zote mbili na kukushaurini nini cha kufanya. Inawezekana na yeye kuna kitu kinamuuzi lakini yeye kakiweka moyoni, lakini wewe umeshindwa kuvumilia na kuomba ushauri hapa mtandaoni.
Tupo mkoani na ni public servants at the same officenadhani hapa shida ni kutokuridhika kwa hawa wake zetu wanatamani wapate vitu vyote kwa wakati mmjo hawajui kuvumilia mkuu mpe muda akapumzike kwao ili atafakari kile anachokifanya akijua kuna kosa akuombe msamaha kwa maandishi na kuwashirikisha ndugu lakini akijua hajafanya kosa basi abaki kwao aendelee na maisha yake
Nadhani hilo ndo sulhisho ingawa nataka kwanza nimuache friendly tukiwa katika normal situation coz tulikuwa hatuongei till now tunaongea ndo sasa nataka twende hom tukamalizane...kingine mambo ya imani..mi naswali ye anaamini uswahili sana na ndo linanifanya nisifikirie kuendelea nae hata kidogo but tuachane bila chukiMkuu piga chini huyo. Hata nipo kwenye situation hiyo hiyo ingawa mm nilifanya kosa kubwa mwanzon. Nilimfuma mara mbili na msg za mapenzi nikamsamehe kilichofuata alishika mimba katika mazingira ya kutatanisha na hata mtoto alipozaliwa alikuwa na dalili zote kuwa sio wangu. Nilijuta kumsamehe mara ya kwanza. Imebidi kumpiga chini akiwa na mtoto. Inauma sana mkuu. Ukimsamehe utakuja kujuta. Utakuja kutamani usingezaliwa.
Kazi kwako Mkuu. Kusuka au kunyoa. Usije jua tu baadae