Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,741
- 167,903
Kugongewa kunauma kama kristapen
Ni majanga kwa baadhi ya ndoa sio wewe pekee kuna wengine hawayaelezi hapa.Sijui kwanini nimefungua huu uzi aiseeee....[emoji25]
Mkuu...Ni majanga kwa baadhi ya ndoa sio wewe pekee kuna wengine hawayaelezi hapa.
Hahahahaha usijali ni comment tuu[emoji15]Mkuu...
Mbona sijasema kitu...[emoji12]
humkuni km alivyokua akikunwa na x.
Real sure bro...mimi mwenyewe nime decide hivyo but nataka nimuache peacefullyMkuukiukweli kila mwanamke utakaemuoa alikuwa na mtu wake, mimi wakati nakutana na mama mtoto 2010 aliniambia kila kitu nikakubaliana nae ila hakuniambia kama kuna jamaa wa kijijini kwao ambae alikuwa nae na bado wako nae, miaka ikasonga hadi mwaka jana ndo mambo yalianza kubadilika nikajifanya mjinga huku nikitafiti mdogo mdogo kiukweli MUNGU hamfichi mnafiki siku nikafuma kila kitu from whatsapp to facebook. Nikambana ki-askari akakubali na kuomba msamaha ila kiukweli mapenzi yalipungua kwa kiasi kikubwa, na miezi 8 mbele nikaona amani hairudi ndani kila siku ni ugomvi mie nikajiengua, nimemua tu aishi mwenyewe na kama ataamua kuolewa tena na huyo jamaa wa huko kwao its fine tulikuwa na mtoto mmoja na nimemuachia akae nae tu maana ukingángánia haya mambo unaweza kufa kwa pressure, its much better kila mtu akakaa pembeni ili tuone baada ya muda nani atakuwa muathirika. Still niko kwenye 30th ila ngoja nisogee kwenye 40 nitaoa tena kwa sasa hapana tena nawachukia sana hawa viumbe.Na inaumiza sana
Ukimchunguza kuku huwezi kumla na kushauri usipekuwe simu ya mkeo asilimia kubwa ndoa unazoziona ni uvumilivu.Ni kweli lakini labda nikuulize mkuu kwa hiyo niendelee kumvumilia mtu huku akiendelea na mahusiano na mtu mwingine nje??
Mh!, mbona Kama unanisema Mimi Tu!, maana nimetafutwa weekend hii, ila kijiografia nipo mbali Na huyo x- wangu. Lakini sija-intend kujikumbushia enzi zileee!, kwa sababu nilikojiegesha kunatosha!. Pole!.Habari jamani humu ndani,
Hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya mwisho wa simu unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo?
Ushauri tafadhali.
Halafu kama ukichunguza hapa jf stori nyingi mtu akileta anajifanya yeye yupo innocent sana wakati kumbe yeye ndio aliyeanzisha hilo tatizo. Kuna siku rafiki yangu mmoja alitaka nimpe ushauri juu ya tatizo lake na mpz wake nikamwambia mlete na huyu mwenza wako walipokuja. Huwezi kuamini nani aliyekuwa mkosa na kuanza kuomba samahani, Mara nyingi mimi huwambia watu kuweni na maongezi ya nini aongeze au nini apunguze kwenye uhusiano wao, japo mara moja kwa mwezi na wake/wapenzi wao huondoa hata khofu na ugomvi wa mara kwa mara.Yaaani wewe umenigusa kuliko maelezo. Na hili ndio tatizo kubwa, washauri kusikiliza upande mmoja na kutoa ushauri ili hali hawajui ya upande wa pili. Hapo ndio ukute mawifi na mama mkwe kama mie, anaapia na kuapia kuwa ukiendelea nae huyo nakulaani! There is no excuse to cheating lakini mara chache sana mtu ataamka tu na kumkumbuka x-wake
Tunataka kutoa vibanzi toka macho ya wenza wetu bila ya kutoa boriti kwenye macho yetuHalafu kama ukichunguza hapa jf stori nyingi mtu akileta anajifanya yeye yupo innocent sana wakati kumbe yeye ndio aliyeanzisha hilo tatizo. Kuna siku rafiki yangu mmoja alitaka nimpe ushauri juu ya tatizo lake na mpz wake nikamwambia mlete na huyu mwenza wako walipokuja. Huwezi kuamini nani aliyekuwa mkosa na kuanza kuomba samahani, Mara nyingi mimi huwambia watu kuweni na maongezi ya nini aongeze au nini apunguze kwenye uhusiano wao, japo mara moja kwa mwezi na wake/wapenzi wao huondoa hata khofu na ugomvi wa mara kwa mara.
Usijidanganye huwezi kumtidhisha mwanamke Kwa kila kitu ,kama ka rudisha mawasiliano mana yake kuna vitu kwako hapati na huenda anajuta.mwanamke ni mtu mwenye msimamo lakini wakiyumba wana yumba kweli kweli so hapo kimbiaNi kweli lakini labda nikuulize mkuu kwa hiyo niendelee kumvumilia mtu huku akiendelea na mahusiano na mtu mwingine nje??