Kumfuma mke akichat na mwanaume mwingine

Kumfuma mke akichat na mwanaume mwingine

Habari jamani humu ndani,

Hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya mwisho wa simu unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo?

Ushauri tafadhali.
Pole sana
 
Habari jamani humu ndani,

Hivi mtu unakuwa na ugomvi kila siku na mkeo huku sababu za ugomvi hata hazieleweki,visilani tu kila kukicha hakuna jema utalomfanyia akaridhika yeye kila jambo umfanyialo kwake baya mwisho wa simu unazifuma text anazochati na mwanaume mwingine wa nje ambaye alikuwa mtu wake wa zamani ambaye kwa mujibu wa text hizo zinaonesha mahusiano wameyarudisha tena sasa wadau hivi huyu mtu/mke kuna ya kuendelea tena na ndoa hapo?

Ushauri tafadhali.
 
acha ujinga piga chini huyo malaya haraka sana, kama una watoto nae watunze/wahudumie tu. ukiendelea kuwa nae utapewa tuzo bora ya grammy/ballon d'or ya upumbavu uliotukuka.
 
Back
Top Bottom