comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,947
Gidbang, mkuu mbona serikali inahisa maana corporate tax rate ni 30% maana yake kila anayepata faida anatakiwa aipe serikali 30% ya hiyo faidaKuna haja ya serikali kuwa na hisa kwa kila biashara iwe ya mzawa au wageni zile viwanda 4000 mifugo 27m mashamba ya wakulima wadogo na wakubwa, biashara ya italiI au unaona paskali