CanibalismTanzania tubaki na bundi letu tukikodoleana mimacho.
Mm nilijua kitendo cha uhuru kwenda kule siku y kuapishwa rais wa kongo kuna jambo tu. Jiwe ww endelea kumwinda zitto,lissu
Sent from my iPhone using JamiiForums
CanibalismTanzania tubaki na bundi letu tukikodoleana mimacho.
Mm nilijua kitendo cha uhuru kwenda kule siku y kuapishwa rais wa kongo kuna jambo tu. Jiwe ww endelea kumwinda zitto,lissu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukitaka kuona furaha ya maisha, soma upate na kutumia maarifa na ujuzi kuishi kwa mujibu wa sheria. Ukiwa na maarifa na ujuzi unaotakiwa hutahitaji kugawiwa ajira za serikali ingawa serikali itakutafuta kukuajiri hata kwa muda mfupi. Ukiishi kijinai, utajilaumu kwa kusababishia familia yako Maisha mabaya. Usijenge nyumba ndani ya hifadhai ya barabara kama sharia inavyoagiza. Ukifanya hivyo kisha ukadhurika, basi jilaumu menyewe.Nikasomeshe wapi mkuu? Huku kwenye elimu bure?! Au huko kwenye ada ya sh milioni 30 kwa mwaka?! Mmetoa ajira ngapi toka muingie madarakani? Mmefukuza kazi watu wangapi toka muingie madarakani? Mmeharibu maisha ya familia ngapi kwa kuwabomolea nyumba zao kwa kigezo cha kibabe.?! Mmezima ndoto za watoto wetu (akwilina na wale wa kibiti) wakati watoto wenu wanakula mema ya nji! Kwani ni nani asiyejua kuwa utawala wa awamu hii unga umezidi maji??
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo. Usipende kujadili mambo ambayo hna taarifa zake. Ujumbe wa Tanzaniakwenye sherehe ya kuapishwa kwa Rais Tchisekedi uliongozwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan. There are a lot goings on behind scenes in diplomacy, which a good number of you do not know or know only liitle.Sisi hata hizo pongezi za kulazimisha na kuhudhuria hatukujali.
Swali la kupeleka mizigo DRC mashariki unahitajika kupita nchi hizi,Tanzania,Uganda,na Rwanda.lakini uhitajiki kupita Kenya.Hiyo sio sababu ya kutuzubaisha. Uwekezaji tuliofanya ungetakiwa tusiwaachie wakenya hiyo fursa hata kidogo. Mwendo wa ''Mteja ni mfalme'' ndio unaotufaa pekeee na sivinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zilizotufikia ni kuwa Rais wa Congo amekubaliana na rais wa Kenya kuwa mizigo yote ya Kiserikali na ya kibiashara itapitia Mombasa badala ya Bandari ya Dar Es Salaam, hasa kwa upande huu wa Mashariki.
Wamekubaliana Kenya kuchangi jeshi la ulinzi mashariki mwa Congo.
Hii ikiwa ni mkakati wa kuyaambia majeshi ya Tanzania , Uganada na Rwanda kuondoka huko.
Tanzania tubaki na bundi letu tukikodoleana.
U a not so smart as U think. Wale wa Mwanza hawakujenga kijinai ?! Mbona double standard ?! Hao unaowasema wengine marekebisho ya sheria yamewakuta . Pili lazima uangalie ni system iliyokuwepo iliruhusu ajira za namna hiyo. Na kama ni wakweli mbona majeshini hamkupereka dhuluma ya aina hiyo hivyo ?!. Hatuwezi kuwa wa kufukuza makarani, walimu , manesi na watumishi wa kawaida lakini majeshi huyahusishi !!Ukitaka kuona furaha ya maisha, soma upate na kutumia maarifa na ujuzi kuishi kwa mujibu wa sheria. Ukiwa na maarifa na ujuzi unaotakiwa hutahitaji kugawiwa ajira za serikali ingawa serikali itakutafuta kukuajiri hata kwa muda mfupi. Ukiishi kijinai, utajilaumu kwa kusababishia familia yako Maisha mabaya. Usijenge nyumba ndani ya hifadhai ya barabara kama sharia inavyoagiza. Ukifanya hivyo kisha ukadhurika, basi jilaumu menyewe.
Kenyatta ni mfanya biashara, Kenya wametuzidi sana shule kinacho warudisha nyuma ni ukabila na ugaidikenyatta ako na akili mingi sana....
Tanzania haiwezi kuipoteza fursa Katika mizigo ya kibiashara ya Congo ipitayo Katika Bandari yake..Taarifa zilizotufikia ni kuwa Rais wa Congo amekubaliana na rais wa Kenya kuwa mizigo yote ya Kiserikali na ya kibiashara itapitia Mombasa badala ya Bandari ya Dar Es Salaam, hasa kwa upande huu wa Mashariki.
Wamekubaliana Kenya kuchangi jeshi la ulinzi mashariki mwa Congo.
Hii ikiwa ni mkakati wa kuyaambia majeshi ya Tanzania , Uganada na Rwanda kuondoka huko.
Tanzania tubaki na bundi letu tukikodoleana.
ukiwa rsisi kusafiri hakuepukiki? japo sio kama jk! mzee wa frastration alishindwaje kwenda pale kwa kabila na nchi jiran jamanWengi mlikuwa hamjui Kwanini Jk alichukiwa Sana Na Nchi jirani ( Kenya, Uganda Na Rwanda) mpaka wakaanzisha Umoja wao ndani ya Jumuia ya Africa Mashariki Na Baada ya Jk kurudi zake Msoga Nov 2015 Na wao wakavunja Umoja wao kimya kimya
Sasa hivi Askar wetu wanakufa Congo kupigania Amani yao lakin Tsheked Baada ya Kuwa Rais Kaenda Kenya ku pay First visit badala ya Tanzania
Ushawishi wetu wa Kimataifa ulianza kupungua Sana Baada ya Jakaya ( VaSco Dagama) kustaafu
Taarifa zilizotufikia ni kuwa Rais wa Congo amekubaliana na rais wa Kenya kuwa mizigo yote ya Kiserikali na ya kibiashara itapitia Mombasa badala ya Bandari ya Dar Es Salaam, hasa kwa upande huu wa Mashariki.
Wamekubaliana Kenya kuchangi jeshi la ulinzi mashariki mwa Congo.
Hii ikiwa ni mkakati wa kuyaambia majeshi ya Tanzania , Uganada na Rwanda kuondoka huko.
Tanzania tubaki na bundi letu tukikodoleana.
"intention"we are competitive katika kujenga chama kikongwe zaidi africa na kushinda chaguzi nyingi-So sisi intension yetu si mizigo bali watalii na wanasiasa watakaokuwa wanakuja kujifunza kwetu ni namna gani wanaweza kuendelea kuwepo madarakani katika nchi zao
Duh! Aisee! Hii nitaishushia na laga hapo jioni nikiangalia game ya liva.Wengi mlikuwa hamjui Kwanini Jk alichukiwa Sana Na Nchi jirani ( Kenya, Uganda Na Rwanda) mpaka wakaanzisha Umoja wao ndani ya Jumuia ya Africa Mashariki Na Baada ya Jk kurudi zake Msoga Nov 2015 Na wao wakavunja Umoja wao kimya kimya
Sasa hivi Askar wetu wanakufa Congo kupigania Amani yao lakin Tsheked Baada ya Kuwa Rais Kaenda Kenya ku pay First visit badala ya Tanzania
Ushawishi wetu wa Kimataifa ulianza kupungua Sana Baada ya Jakaya ( VaSco Dagama) kustaafu
Kumbe yule bibie kakutana na Mshedede wa mkono wa sweta. Mi nlikua najiuliza Kajuaje kua kuna wabunge wengne mkono wa swetaTanzania ngoja tujikalie na bundi letu limekodoa watu wakichukua fursa. Tumekalia kumuangalia bundi dodoma na kuomba spika aweke machine za kupima wasiotahiriwa..Hii ikionyesha mbuge husika kakumbana na kasheshe kwa mbuge mweznge.
Wewe nawe ni mweupe tu. Tatizo sio jiographia. Tatizo ni gharama. Kufanya biashara kiushandani, lazima udhibiti gharama. Mambo yanayochangia gharama ni pamoja na sheria mbovu, urasimu, rushwa, nk.Unaonekana shule hujakwenda wewe
Huwezi kuutoa mzigo Mombasa ukaupeleka Lubumbashi!
Labda huko kivu ya kaskazini bado tu ni hasara
Tatizo Jiografia ya kenya si rafiki labda kwa Uganda au sudan ya kusini tu
Wakati mwingine inabidi tufanane nao ili iTUSIKOSE KUWA WAZALENDO JAPOKUWA WAO NI WAZALENDO ZAIDI NA WENYE UCHUNGU NA NCHI KULIKO SISI KAMA WANAVYOJINADI
Kabisa mkuu ni ujuha wa kupindukia lakini pia kama taifa ni vyema tuone na wapi kuna tatizo hadi wajinga kama hawa mapimbi hayataki nchi yetu ipate mapato .Kuna watu humu mmepitiliza kwa itikadi na uvyama.
(i). Hivi mtu mwenye akili timamu unaweza kushabikia Serikali yako kukosa mapato?? Yakienda utafaidika na nini - Je, mtoto wa ndugu yako atapata mkopo wa elimu ya juu toka Kenya??
(ii). Wauza hoteli na nyumba za kulala wageni njiani toka DRC mpk Dar huoni kama kipato chao kitapunguwa?? Watoto wao wakuletee kwako??
Wewe si mzalendo!!