Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Nakushukuru Mungu kwa kuniuumba hivi nilivyo!!
Nakushukuru Mungu kwa kuwa umeniokoa na mtego wa mwindaji!!
Nakushukuru Mungu kwa kuwa wale wale walionichimbia mashimo ili nitumbukie, uliwaagizia malaika zako wakawakamata wakawatumbukiza katika mashimo yale yale waliyonichimbia mimi!!
Nakushukuru pia kwa ajili ya kazi yangu, huduma yangu, kanisa langu, rafiki zangu, na familia yangu kwa ujumla
Zaidi ya yote nakushukuru Mungu kwa ajili ya members wote wa JF, asante Bwana kwa ajili ya Dena, asante kwa ajili ya Michelle, asante kwa ajiliya Lizy, na wengine woteeeeeee, kwa maana imeandikwa watujua kwa majina yetu tena umeyachora katika vitanga vya mikono yako!!
Amen!!
Asante dear Susy.....umekumbuka hata hili....kusema ukweli JF ni sehemu inayotufundisha mengi na kutujenga sana....mimi namuomba Mungu awabariki sana walioanzisha JF na wanaoifanya iendelee kuwepo....Mungu akubariki pia Susy na JF members wengine!!!